Ndio dunia ilivyo, hata mimi mtandao wa X sijawah kuuelewa, nimejaribu kupakua app juzi nadhan leo ntaifuta.Siwezi kuelewa kila kitu
Tik Tok, Snapchat
Never
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio dunia ilivyo, hata mimi mtandao wa X sijawah kuuelewa, nimejaribu kupakua app juzi nadhan leo ntaifuta.Siwezi kuelewa kila kitu
Tik Tok, Snapchat
Never
Mimi nipo jf tu.Sio wote, mie simo tiki toku.
Nilishindwa, kila siku inaibuka mitandao mipya nitakuwa na akaunti ngapi, nimeshindwa kwendana na kasi ya mitandao
Kuna account za kiislam nyingi sanaUnakuwa unaangalia nini Sheikh?
Nikijiungaga nikamaliza GB 20 kwa siku moja nikaufutia mbali. Siwezi kujiunga tena everWatumiaji wengi wa TikTok hawana maadili. Badala ya kumfungia mtu mmoja mmoja, ni afadhali wakafungia mtandao, hadi pale elimu itakapotolewa kuhusu matumizi ya mtandao huo.
Binafsi sina account ya mtandao lakini kwa video zinazotumwa kwenye mitandao mingine kutoka kwa watumiaji wake; inaonesha wazi watumiaji mtandao huo wanautumia isivyo sawasawa.
Tulinde maadili yetu.
Pia soma=> Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X
wengine wengi ndio sehemu yao ya kupata wateja wa biashara zao, watu wengine sijui wanawaza mpaka wapi yani wanajifikiria wao tuWakati wewe unauona mtandao wa Tiktok wa hovyo, kuna watu wanajifunza neno la mungu kupitia mtandao huo huo unaouona wa hovyo.
PambanaZaidi/CottonandMore
kwahiyo watengenezaji walisema hiyo ni ya wanawake tu??Mwenyewe hua simuelewi mwanaume mwenye account tiktok,likee na Snapchat
Hawa vijana shenzi kabisa
Mitandao ya wanawakeTiktok na Snapchat ni mitandao ninayoisikia tu
Maadili ni Nini?Watumiaji wengi wa TikTok hawana maadili. Badala ya kumfungia mtu mmoja mmoja, ni afadhali wakafungia mtandao, hadi pale elimu itakapotolewa kuhusu matumizi ya mtandao huo.
Binafsi sina account ya mtandao lakini kwa video zinazotumwa kwenye mitandao mingine kutoka kwa watumiaji wake; inaonesha wazi watumiaji mtandao huo wanautumia isivyo sawasawa.
Tulinde maadili yetu.
Pia soma=> Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X
UZuri unaweza ingia tick tok bila kuwa na account sema tu hutaweza kupost au kucomentSio wote, mie simo tiki toku.
Nilishindwa, kila siku inaibuka mitandao mipya nitakuwa na akaunti ngapi, nimeshindwa kwendana na kasi ya mitandao
Sijawahi tumia snapchat na sina mpangoMitandao ya wanawake
Na kuna siku atataka visu majumbani viondolewe, maana kuna watu wameuwawa kwa kuchomwa visu..!!Wakati wewe unauona mtandao wa Tiktok wa hovyo, kuna watu wanajifunza neno la mungu kupitia mtandao huo huo unaouona wa hovyo.
PambanaZaidi/CottonandMore
Hii imenifikirisha🤔Kwan unadhani kwann Mungu hakumuua shetani?
Utakuwa wife materialSijawahi tumia snapchat na sina mpango
Ni vyema ukaviorodhesha baadhi ya hvyo vitu ulivyojifunza mkuu. Na sisi tuone kama kuna uwezekano wa kuwepo kwny huo mtandao.Ukweli ni kwamba kwenye mtandao wa TikTok kuna mambo mazuri ya kujifunza na kuna uchafu usiostahili.
Uamuzi ni wako unataka kuangalia nini. Mfano, kuna vitu vya maana sana nimejifunza TikTok.
Halafu itakuwa chawa wewe. Ambao "hawana maadili" umewaona tiktok tu? Huko mtaani kwako hawapo? Serikalini wamejaa wangapi? Huu ufisadi na rushwa zinazoendelea huzioni? Tuna balozi ngapi nchini zenye watu ambao "hawana maadili" tuwacancel wote? Baada ya kupigania mambo ya maana kazi kung'ang'ania mambo ambayo hayana msingi.Watumiaji wengi wa TikTok hawana maadili. Badala ya kumfungia mtu mmoja mmoja, ni afadhali wakafungia mtandao, hadi pale elimu itakapotolewa kuhusu matumizi ya mtandao huo.
Binafsi sina account ya mtandao lakini kwa video zinazotumwa kwenye mitandao mingine kutoka kwa watumiaji wake; inaonesha wazi watumiaji mtandao huo wanautumia isivyo sawasawa.
Tulinde maadili yetu.
Pia soma=> Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X
Bongo tuna ujinga mwingi sana wakati hatuna kila kitu.Huo mtandao uko vizuri sana inategemea nawewe mwenyewe unachotaka kukitazama ni nini.Sasa mbongo akikutana na clip za wasasambuaji anakariri mtandao wote clip zilizoko ni hizo.Acheni unafki ...
Mbona hivyo mnavyovisema mbona mimi huwa sivionagi?
Sema unakua umechagua kuona nini!
Huko mpaka baba Paroko wako yupo...sembuse Mimi ni nani?
Wabongo tunapenda kujikweza Sana ..
Tunajifanya watu wa maadili sana kumbe bure tu.Nje ya mada: Huko Ulaya na Asia mbakosema hawana maadili ndio mnanunua simu, magari, tv, na all kind of properties, nyie wenye maadili hata gidamu za viatu hamuwezi kuunda