Pre GE2025 Napendekeza Tanzania iufunge Mtandao wa TikTok

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TikTok imetajirisha watu.wewe bwege unaenda kuangalia matako hasara nikwako nabando lako.

halafu akili hujajaaliwa TikTok hela nnjennje naelimu kibao Sasa hiki kibakuli chenu jf sijui ushawahi kusikia kimempa nani hela

kweli wabongo wengi akili sifuri unataka TikTok ifungiwe?wee kweli kiazi

hiihoja Yako ipeleke kwakina ndaro,mwaisa,cheaf God love,tx dula Subaru,Leonardo,tengetenge,zamzam,niffa nawengineo akiwepo mimi uone tusipo kuzaba makofi nyau wewe
 
Tatizo siyo mtandao. Ni matumizi. Utafungia mitandao mingapi. Majuzi nimesikia wanataka kufungia Twitter (X). Huwa sielewi ni maamuzi ya namna gani. Wengine tunafanya mambo halali mtandaoni ambayo kuwa na account ya X ni added advantage.
 
Tatizo siyo mtandao. Ni matumizi. Utafungia mitandao mingapi. Majuzi nimesikia wanataka kufungia Twitter (X). Huwa sielewi ni maamuzi ya namna gani. Wengine tunafanya mambo halali mtandaoni ambayo kuwa na account ya X ni added advantage.
tafiti zinaonesha tiktok inatumika zaidi na gen z mkuu, wanapost upuuzi

sawa kutakuwa na vya maana ila sio kama facebook na youtube huko, ambapo pametulia zaidi....
 
Acha ujinga kiungo cha uzazi cha kike wewe......pia wewe ni sehemu ya kutolea uchafu wa mwili wa binadamu

Sasa kisa ww umechoka kukaa tik tok au huna account ndo wafunge mtandao basi nenda facebook
 
Tatizo siyo mtandao. Ni matumizi. Utafungia mitandao mingapi. Majuzi nimesikia wanataka kufungia Twitter (X). Huwa sielewi ni maamuzi ya namna gani. Wengine tunafanya mambo halali mtandaoni ambayo kuwa na account ya X ni added advantage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…