Sifa upewe siyo ujipe. Nimegundua tulifungiwa kwenye box kwa muda mrefu na mi FISI M, tukiwa kwenye box tuliaminishwa hayo, ya Nyerere, Nyerere, Nyerere.
Sasa ukitoka nje masikioni unasikia Nyerere, Nyerere, Nyerere. Akili ikikukaa sawa sauti zile zinapotea, ukiona husikii Nyerere, jua sasa akili iko sawa. Yani yale maluweluwe hayapo tena.
Wale walijikomboa wenyewe sio kwamba Nyerere aliwakomboa.
Nchi imekuwa ya chama kimoja muda mrefu, na stori zilikuwa hizo za ma FISI M, sasa kuna masauti mengi.
Hizo habari za Nyerere zinakosa muelekeo na support.
Tusilazimishe sifa, kama zipo zetu tutapewa, lakini tusiwalazimishe kutoa sifa kwetu, pengine hatustahili.
Ukitaka sifa za Nyerere mtafute Kabudi, mtakesha akikutajia Nyerere.