Napendekeza TCRA wapige marufuku matangazo ya BBC nchini Tanzania. Wameitukana kumbukumbu ya Mwl. Nyerere

Wewe anzisha chombo chako cha habari uanze kumtangaza mwl Nyerere.
 
Habari ni sawa na chakula mezani.

Mtazamaji/mskilizaji ataamua kuikubali au kuikataa na kukipongeza au kukidharau chanzo/chombo cha hiyo habari.

Kuwafungia hakutawazuia kuendelea kututangaza vibaya endapo wamedhamiria kufanya hivyo.
Ni wapi ambapo wamewatangaza vibaya ?
 
Hujafika South Africa wewe.

Hapa sauzi kuna barabara ya Nyerere
 
Soma kwanza 1964 mutiny kisha uongee hizo pumba. Bila huyo muingereza, nyerere si angekaa madarakani miaka 3 tu na kung'olewa.
Kwani hoja inasemaje? Mbona mnakaza ubongo bila sababu?
 
Moja ya sababu ya nchi yetu kubaki masikini ni rasilimali kubwa tulizotumia kusaidia ukombozi Afrika kitendo cha BBC kutaja historia ya ukombozi Afrika bila kumtaja Nyerere na kumtaja Kenyatta ni wazi habari yao imejaa upotoshaji
 
Moja ya sababu ya nchi yetu kubaki masikini ni rasilimali kubwa tulizotumia kusaidia ukombozi Afrika kitendo cha BBC kutaja historia ya ukombozi Afrika bila kumtaja Nyerere na kumtaja Kenyatta ni wazi habari yao imejaa upotoshaji
Tende wema nenda zako usingoje shukrani.

Tunajitia kiherehere kusaidia nchi nyingine wakati nchi yetu inapumulia mipira.

Always charity begins at home.
 
Msisubiri BBC waeleze... Kuna kipindi nilishawahi ona Mkenya akiwakusanya waAfrika Kusini akieleza namna walivyoisaidia Afrika Kusini katika mapambano yao ya kupigania uhuru, Nikabaki nasikitika tu.
Wote watakuwa mazuzu nilishangaa kwenye mazishi ya Mandela walivyokuwa wanamshangilia Obama huku wakisahau Marekani ilimhesabu Mandela kama gaidi
 
Nadhani hata sisi ndiyo tunafanya Legacy ya Mwalimu ianze kusahaulika hasa hasa kipindi hiki cha Utawala huu! Mfano haya yanayoendelea kuhusiana na uchaguzi wa mwaka huu.
Wakati Mwalimu alisimamia misingi ya Usawa na Haki za binadamu,sisi ndiyo tunazikanyaga! Alipiga vita ukabila,udini,ukanda,nk lakini haya ndiyo sasa yameshamiri awamu hii,Wakati Mwalimu alichukia Udikiteta na Uonevu,hayo ndiyo habari kwa sasa!
Sasa unafikiri kama sisi hatuenzi Legacy ya Mwalimu kwa vitendo walio nje watafanyaje?
 
Mwadui Williamson Diamond mines haikuguswa?
 
mkuu una stress sana.tulia kunywa maji mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…