ππHili nalo mkalitizame π
π€£π€£Iko vizuri mwigulu aichukue hii, tunataka kusonga mbele make wapinzani wametuchelewesha sana....
NAHUNGA MKONO HOJABinafsi namshauri mh.waziri wa fedha kuangalia utaratibu wa kuwa tambua Dada poa(sexual commercial workers) wa mjini ili nao wawekewe utaratibu wao maalum wa kulipa Kodi maana ile ni biashara Kama biashara ya kuuza na kununua mayai.Nawasilisha ushauri wangu,Asanteni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mheshimiwa hili alitazame mara moja na akuteue kuwa waziri maalumu kufanya hizi operesheni.π€£Kiukweli hili litaasaidia mnoo,tukumbuke hapa kuna wajanja wanaweza kufanya hujuma kwa kuacha kuja na kutoka Dar,hii itakuwa ni hujuma kubwa sana.Sasa ili kuwadhibiti sheria itungwe kwamba ukikaa miezi kadhaa bila kuingia na kitoka pia ukatwe kodi huko huko ulipo!
(pwaa pwa pwa) makofi,,Mheshimiwa hili alitazame mara moja na akuteue kuwa waziri maalumu kufanya hizi operesheni.π€£
Itakuwa na tofauti gani na vyoo vya stendiIdadi kubwa sana ya watu wanaingia katika jiji la Dar es Salaam kila siku. Ninaona hiki kigeuzwe kuwa chanzo cha tozo.
Asiwepo wa kubaguliwa hata wale wanaopita na misafara na ving'ora. Wekeni toll gate pale kiluvya, Bunju, Kongowe, ya Kilwa road na hapo Azam Ferry.
Nimeona sana toll gates pale Bangkok Thailand.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama mbwai mbwai tu(pwaa pwa pwa) makofi,,
nashukuru ndugu mwenyekiti wa kamati maalum kwa kuniona na kunitoa chini mavumbini,
Nipende kusema kuwa sitakuangusha,na kile kiasi cha ziada baada ya makusanyo nitakuwa nikikutunzia kule kwenye acc. yako iliyopo Uswizi!
Umeona eeeh? Tozo si mchezo aisee!! π π π π π π π π πTozo zinakuchanganya hadi unakosea mada.π