Napendekeza tozo kwa kila mtu anayeingia jiji la Dar es Salaam na manispaa zake

Napendekeza tozo kwa kila mtu anayeingia jiji la Dar es Salaam na manispaa zake

Unaonaje wawe wanakuja na pasipoti kabisa, halafu visa dollar mia.

Na tuwape na siku za kukaa, akizidisha ameoverstay tunamfunga.

Vituo tuweke kule Mkuranga, Kisarawe, Bagamoyo na chalinze.
😂😂😂
 
Idadi kubwa sana ya watu wanaingia katika jiji la Dar es Salaam kila siku. Ninaona hiki kigeuzwe kuwa chanzo cha tozo.

Asiwepo wa kubaguliwa hata wale wanaopita na misafara na ving'ora. Wekeni toll gate pale kiluvya, Bunju, Kongowe, ya Kilwa road na hapo Azam Ferry.

Nimeona sana toll gates pale Bangkok Thailand.
Haki ya kufanya movement itakuwa imevunjwa.
Badili katiba ndipo muweke tozo za kuingia Dar
 
Upo sahihi kabisa.Kama kuingia Kigamboni kuna tozo nadhani ni muda sahihi sasa kuweka tozo za kuingia Dar es Salaam.

Hili Iji ni la kitalii kila sehemu ni kivutio.
 
Upo sahihi kabisa.Kama kuingia Kigamboni kuna tozo nadhani ni muda sahihi sasa kuweka tozo za kuingia Dar es Salaam.

Hili Iji ni la kitalii kila sehemu ni kivutio.
Kweli aisee, kigamboni bila tozo hakuendeki.
 
Idadi kubwa sana ya watu wanaingia katika jiji la Dar es Salaam kila siku. Ninaona hiki kigeuzwe kuwa chanzo cha tozo.

Asiwepo wa kubaguliwa hata wale wanaopita na misafara na ving'ora. Wekeni toll gate pale kiluvya, Bunju, Kongowe, ya Kilwa road na hapo Azam Ferry.

Nimeona sana toll gates pale Bangkok Thailand.
Louder....
 
Back
Top Bottom