Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Unaonaje wawe wanakuja na pasipoti kabisa, halafu visa dollar mia.
Na tuwape na siku za kukaa, akizidisha ameoverstay tunamfunga.
Vituo tuweke kule Mkuranga, Kisarawe, Bagamoyo na chalinze.
Haki ya kufanya movement itakuwa imevunjwa.Idadi kubwa sana ya watu wanaingia katika jiji la Dar es Salaam kila siku. Ninaona hiki kigeuzwe kuwa chanzo cha tozo.
Asiwepo wa kubaguliwa hata wale wanaopita na misafara na ving'ora. Wekeni toll gate pale kiluvya, Bunju, Kongowe, ya Kilwa road na hapo Azam Ferry.
Nimeona sana toll gates pale Bangkok Thailand.
Kweli aisee, kigamboni bila tozo hakuendeki.Upo sahihi kabisa.Kama kuingia Kigamboni kuna tozo nadhani ni muda sahihi sasa kuweka tozo za kuingia Dar es Salaam.
Hili Iji ni la kitalii kila sehemu ni kivutio.
Kwenda kigamboni kuna tozo.. sheria inasemaje?Haki ya kufanya movement itakuwa imevunjwa.
Badili katiba ndipo muweke tozo za kuingia Dar
Ule ni uonevu kama uonevu mwingine.Kwenda kigamboni kuna tozo.. sheria inasemaje?
Watanzania ni wajinga zaidi ya unavyofikiriWatanzania sio wajinga kiasi hicho
Louder....Idadi kubwa sana ya watu wanaingia katika jiji la Dar es Salaam kila siku. Ninaona hiki kigeuzwe kuwa chanzo cha tozo.
Asiwepo wa kubaguliwa hata wale wanaopita na misafara na ving'ora. Wekeni toll gate pale kiluvya, Bunju, Kongowe, ya Kilwa road na hapo Azam Ferry.
Nimeona sana toll gates pale Bangkok Thailand.