Napendekeza upimaji VVU kwa lazima kila mwaka; waathirika wawekewe alama sehemu za siri

Nyuzi kama hizi huwa zinapata wachangiaji kidogo sana .





Mkuuu unacheza na ngono nn ???? Watu hawapendi kupotea pekee yao man .dawa ni kuwapima kabla ya kula .
 
Hv kwa mfano ukipata wewe au babako mkifanyiwa hivyo utajisikiaje kwa mfano?yaani mnapigwa alama Kama hizo huko kunako nk.nauliza tu mkuu.maana huu ugonjwa umegusa kila familia kwa namna moja ama nyingine
 
1.) Kwani mtu aliyepata VVU kwa njia ambayo sio ya ngono, hawezi kusambaza kwa njia ya ngono? Nini msingi wa kauli yako hii? I don't know.

2.) Kwani mtu kupimwa kwa lazima na kuwekea alama katika sehemu ambayo hata wewe unayewekewa huwezi kuiona kunakufanya usiwe sehemu ya jamii? Au watu watakusimanga bila wewe mwenyewe kuwaonyesha kwa hiari yako alama uliyowekea sehemu ya siri? Na kama uliwaonyesha lengo lako lilikuwa ni nini kama sio ulitaka kuwaambukiza? Nini msingi wa kauli yako hii? I don't know.

3.) Elimu inatolewa, lakini VVU bado vipo kwa sababu ngono sio starehe kama watu wanavyodhani, ngono ni nyenzo muhimu sana katika muendelezo wa maisha ya binadamu, tusiwabeze watu wanaopenda ngono, ni watu muhimu sana katika jamii ya binadamu.
 
Kwa sisi tunaopiga mchicha style tutaionaje hiyo Alama mkuu
 
Hv kwa mfano ukipata wewe au babako mkifanyiwa hivyo utajisikiaje kwa mfano?yaani mnapigwa alama Kama hizo huko kunako nk.nauliza tu mkuu.maana huu ugonjwa umegusa kila familia kwa namna moja ama nyingine
Ndio maana nimesema kwenye post moja wapo kuwa, tunahitaji kujitoa akili for the betterment of our society, unajua maana ya kujitoa akili? Naamini Hitler angekuwepo leo hii, ujerumani ndio ingekuwa nchi pekee duniani free from VVU
 
Hivi uliona waziri wa ujenzi aliyepita anakunywa kikombe kwa babu? Jiulize kwann then ulete proposal yako. Nan wa kumfunga paka kengele? Acha tupuyangane likikukuta R.I.P!!
 
Hivi uliona waziri wa ujenzi aliyepita anakunywa kikombe kwa babu? Jiulize kwann then ulete proposal yako. Nan wa kumfunga paka kengele? Acha tupuyangane likikukuta R.I.P!!
Hii sio hoja, atakaeona its too much anaweza kuomba uraia hata wa DRC ambako nobody cares about shit!
 
Ebu pendekeza hyo alama inawekwaje
 
Vipi kama ni mpenzi wako mliepima then baadae akaukwaa na kukuambukiza, kumbuka, lengo la ngono ni procreation na sio starehe pekee.., kwahiyo huwezi tumia condom na 'mkeo'
 
mzee wa ''expansion joint'' unakumbuka tuliwahi kutengenezewa dawa feck za ARV na kiwanda kilichopo ndani ya nchi yetu watu walipukutika kama viwavi jeshi? kila kitu kwetu cyo salama na maoni yako inatupa picha kuwa ww ni mzinifu kwa kiwango cha sadoma zingatia ngono salama tumia kondom au kuwa mwaminifu hakuna kupigwa chapa hao siyo ngombe
 
Even though niko against wazo lako mkuu, lakini nikupe swali fikirishi. Ukisema wapime kila mwaka huoni maambukizi bado yatakuwepo? Kwa sababu mtu anaweza pima saivi lakini akapata maambukizi three months later , naye akaambukiza wengine ndani ya mwaka kabla kupima mwaka unaofuata na kupewa chapa yake sehemu za siri?! Ungesema wapimwe kila miezi mitatu na siyo mwaka.
 
Unajua ni maisha ya watu wa ngapi yameokolewa kwa hiko kiwanda kutengeneza ARV feki? Pengine hata wewe leo hii ungekuwa haupo, nampa pongezi mmliki wa kiwanda.
 
Ndiocmaana nikasema, tukifanya strictly for 5yrs, tutakuwa tumefikia lengo by atleast 90%, maana tutakuwa na 'an exponential decrease toward zero'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…