Napendekeza upimaji VVU kwa lazima kila mwaka; waathirika wawekewe alama sehemu za siri

Napendekeza upimaji VVU kwa lazima kila mwaka; waathirika wawekewe alama sehemu za siri

Mpaka mwisho wa hii dunia hatutapata suluhisho; unless igunduliwe chanjo au dawa. Kinyime cha hapo dawa ni hiyo niliyowapa, ila mpango huu unahitaji dikteta kuufanikisha, Rais legelege hatoweza kamwe! Pia Airport pawekwe utaratibu wa wageni wote kupimwa VVU kabla ya kuingia nchini, AIDS should be treated like EBOLA! Mi nashangaaga tunabembeleza bembeleza nini na huku watu wanazidi kuambukizana kila kukicha, tena tunapeana dawa za kurefusha maisha (kurefusha muda wa kusambaza), this is shear insanity! Its madness!!
mzee wa ''expansion joint'' unakumbuka tuliwahi kutengenezewa dawa feck za ARV na kiwanda kilichopo ndani ya nchi yetu watu walipukutika kama viwavi jeshi? kila kitu kwetu cyo salama na maoni yako inatupa picha kuwa ww ni mzinifu kwa kiwango cha sadoma zingatia ngono salama tumia kondom au kuwa mwaminifu hakuna kupigwa chapa hao siyo ngombe
Unajua ni maisha ya watu wa ngapi yameokolewa kwa hiko kiwanda kutengeneza ARV feki? Pengine hata wewe leo hii ungekuwa haupo, nampa pongezi mmliki wa kiwanda.
unafahamu namna ya kutofautisha kati ya kuokoa na kuuwa?
 
Wapigwe mihuri ya moto kwenye mapaja
Hapana, itaonekana kirahisi, inabidi alama iwekwe sehemu ambayo kama mtu ataiona, basi maana yake ni kwamba ulikuwa na lengo la kumuua huyo mtu. (Murder case in the very sense of the word!)
 
mzee wa ''expansion joint'' unakumbuka tuliwahi kutengenezewa dawa feck za ARV na kiwanda kilichopo ndani ya nchi yetu watu walipukutika kama viwavi jeshi? kila kitu kwetu cyo salama na maoni yako inatupa picha kuwa ww ni mzinifu kwa kiwango cha sadoma zingatia ngono salama tumia kondom au kuwa mwaminifu hakuna kupigwa chapa hao siyo ngombe

unafahamu namna ya kutofautisha kati ya kuokoa na kuuwa?
Glass iliyowekwa maji yakafika nusu ina namna mbili ya kuelezewa. "A glassn half full" au " A glass half empty". Chagua mwenyewe kisha jijibu swali lako.
 
Bora alama zao tuwaweke usoni kama wanawake wa Kihindi na alama.zao nyekundu. Ukiwawekea sehemu za siri usiku watatuumiza hatutaziona
 
Glass iliyowekwa maji yakafika nusu ina namna mbili ya kuelezewa. "A glassn half full" au " A glass half empty". Chagua mwenyewe kisha jijibu swali lako.

Glass iliyowekwa maji yakafika nusu ina namna mbili ya kuelezewa. "A glassn half full" au " A glass half empty". Chagua mwenyewe kisha jijibu swali lako.
inaonyesha unapenda ngono kikwazo kikubwa kwako ni HIV !ila nakushauri acha uzinzi utakufa alama anza kuweka kwenye hayo map*****.
 
inaonyesha unapenda ngono kikwazo kikubwa kwako ni HIV !ila nakushauri acha uzinzi utakufa alama anza kuweka kwenye hayo map*****.
Ngono ni human nature, its an assential tool for procreation.
 
Mpaka mwisho wa hii dunia hatutapata suluhisho; unless igunduliwe chanjo au dawa. Kinyime cha hapo dawa ni hiyo niliyowapa, ila mpango huu unahitaji dikteta kuufanikisha, Rais legelege hatoweza kamwe! Pia Airport pawekwe utaratibu wa wageni wote kupimwa VVU kabla ya kuingia nchini, AIDS should be treated like EBOLA! Mi nashangaaga tunabembeleza bembeleza nini na huku watu wanazidi kuambukizana kila kukicha, tena tunapeana dawa za kurefusha maisha (kurefusha muda wa kusambaza), this is shear insanity! Its madness!!
No k iwekewe kuvuli. Na itavunguliwa na mime tu. Tena lenye umeme kwa nje ukiigusa tu unaondoka.
 
Mpaka mwisho wa hii dunia hatutapata suluhisho; unless igunduliwe chanjo au dawa. Kinyime cha hapo dawa ni hiyo niliyowapa, ila mpango huu unahitaji dikteta kuufanikisha, Rais legelege hatoweza kamwe! Pia Airport pawekwe utaratibu wa wageni wote kupimwa VVU kabla ya kuingia nchini, AIDS should be treated like EBOLA! Mi nashangaaga tunabembeleza bembeleza nini na huku watu wanazidi kuambukizana kila kukicha, tena tunapeana dawa za kurefusha maisha (kurefusha muda wa kusambaza), this is shear insanity! Its madness!!
Kwani itasaidia nini mkuu.
 
Bora alama zao tuwaweke usoni kama wanawake wa Kihindi na alama.zao nyekundu. Ukiwawekea sehemu za siri usiku watatuumiza hatutaziona
Wakina nani wewe mbona hujiweki? Huku unasema watatumaliza. Kwan unambukizwa kwa upepo?
 
inaonyesha unapenda ngono kikwazo kikubwa kwako ni HIV !ila nakushauri acha uzinzi utakufa alama anza kuweka kwenye hayo map*****.
Chief jamaa amekuja na hoja yake,wewe una attack personality au mnamjuana?...Anyway hilo ni wazo lake kama suluhisho katika mapambano dhidi ya janga hili letu sote la HIV,maana sio kila muhathirika lazima awe ameshiriki ngono.Kuna case chungu mzima kwenye jamii zetu za watoto wanaozaliwa wakiwa waathirika,hivyo ni kweli kabisa inahitajika nguvu kubwa sana katika kupunguza na mwisho kumaliza kabisa maambukizi ya HIV ingawa silaha anayotaka itumike ni changamoto tosha katika jamii na inaweza sababisha maambukizi makubwa zaidi kuliko kupunguza.
 
Free HIV/AIDS generation begins with you! The government comes later
 
Back
Top Bottom