Napendekeza upimaji VVU kwa lazima kila mwaka; waathirika wawekewe alama sehemu za siri

Napendekeza upimaji VVU kwa lazima kila mwaka; waathirika wawekewe alama sehemu za siri

Namkijidai kuukaushia uzi na mimi ndio nitazidi kukomaa sasa.., kuchungulia na kukimbia bila kuchangia chochote sio utaarabu, tuwekani wazi, vikwazo ni vipi, how do we overcome them.., lengo ni tz iwe huru na matumizi ya mpira na VVU kwa ujumla.., nafikiria jinsi maisha kabla ya VVU yalivyokuwa.., watu walikuwa wanajipigia tu bila presha yoyote, we need those old days back!
Mi binafsi sijakaushia, ila nilikua napitia kwanza comment za wadau kwanza nione povu lilivyo.
Sana natoa maoni, ni jambo Jema sana isipokua ushirikiano na wizara husika na wafanikishaji wa huo pango, itakuaje?.
Maana kama wameasirika hawatajiwekea alama wao. Na kama sio vipi kuhusu rushwa huoni itaka ni kama kwa rafiki zetu wa barabarani?.
 
Hakuna cha popolation acontrol wana nini,hizi ni story za kuaminishwa tu kuliko uhalisia,Kwa mtizamo wako Africa population inaongezeka au kupungua,Ili theory yako ifanye kazi ingebidi tuone ukuaji mdogo sana wa population africa.Ila ukitizama sensa za karibia kila nchi africa watu wanaongezeka kuliko kawaida.Mfano TZ,chukua sensa ya mwaka 2002 na 2012,utaona watui wameongezeka kiasi gani.Kuna program za kupunguza child mortality rate na martenal mortality rates,pampja na kuimarika kwa huduma za afya hasa za uzazi.Tupe facts kwamba kuna agenda za population control kama unavyotuaminisha wewe.Vitu vingine ni story za vijiweni tu.
Kila kitu ni marekani,kuna siku hata mkeo akikusaliti utasingizia marekani.
1.) Sasa kuna nchi ambayo population ya 2002 ni sawa na population ya 2012 hapa duniani?

2.) Ukuaji wa population ya Africa ilibidi uwe mara 2 au 3 kama sio mara 5 ya hii population growth tunayoiona, ila ni juhudi hizi za uzazi wa mpango, VVU na abortion zinazofadhiliwa kwa nguvu kubwa ndio zinadidimia full potential tuliyonayo.

Nenda vijijini huko uone palivyo patupu, Africa ina watu wachache sana, unaweza ukasafiri hata kilomita 100 usipishane na nyimba njiani kwenye highway, zaidi ya vibanda vya kuku pembezoni mwa barabara, hakuna watu kabisa, watu wote tunajazana mijini kama kambale kwenye tope halafu tunajiona tuko weeeeengii..., kumbe tumejilundik sehemu moja. Africa ni kubwa sana na idadi yake ya watu ni ndogo mno! That is why we are soo weak..!!!
 
1.) Sasa kuna nchi ambayo population ya 2002 ni sawa na population ya 2012 hapa duniani?

2.) Ukuaji wa population ya Africa ilibidi uwe mara 2 au 3 kama sio mara 5 ya hii population growth tunayoiona, ila ni juhudi hizi za uzazi wa mpango, VVU na abortion zinazofadhiliwa kwa nguvu kubwa ndio zinadidimia full potential tuliyonayo.

Nenda vijijini huko uone palivyo patupu, Africa ina watu wachache sana, unaweza ukasafiri hata kilomita 100 usipishane na nyimba njiani kwenye highway, zaidi ya vibanda vya kuku pembezoni mwa barabara, hakuna watu kabisa, watu wote tunajazana mijini kama kambale kwenye tope halafu tunajiona tuko weeeeengii..., kumbe tumejilundik sehemu moja. Africa ni kubwa sana na idadi yake ya watu ni ndogo mno! That is why we are soo weak..!!!
Sasa unataka hata wanafunzi wazaliane hovyo hovyo tu bila kutimiza malengo yao?.Mtu una chumba kimoja,kipato chako kidogo,unataka uzallane tu kama panya sababu tu eti kuna Eneo la kutosha?Thats nonsense.Population kutokukua kuna factors nyingi sana,wala siyo eti sababu ya abortions na Pills nyinyine.Suala la Afya umelizingalitia?,Unajua ni watu wangapi wanakufa sababu ya huduma duni za afya?.Unafahamu ni watu wangapi wanakufa sababu ya vita vya kijinga vya kikabila Africa?.Civil war n.k.nk.?.Tukitaka kuzaliana na kuwa na Population kubwa na bora ni lazima tutizame swala la Afya kama mboni ya jicho,pia elimu n.k n.k.Hii ni pamoja na kuzuia mimba za utotoni ili vijana wetu wasome waje kuzaa wakiwa na akili timamu na uwezo wa kulea familia.Hapa hakuna cha mmarekani wala nini,ni commonse sense tu.
 
Baraza la watu watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi, Katika halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe wameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kutunga Sheria itakayopelekea watu kupima Ukimwi kwa lazima.

View attachment 696422
Hayo yamesemwa na watu wanaoishi na Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Konga ya Mbozi wakati walipotembelewa na Kamati ya Bunge ya Ukimwi ambayo ipo ziarani mkoani humo.

Wamesema kuwa hatua hiyo itasaidia kwenye Mapambano ya Maambukizi na kuenea kwa ugonjwa huo ili kutimiza azma ya serikali ya 0.0.0 kuhakikisha kuwa ifikapo mwaka 2030 hakuna Maambukizi Mapya ya Ukimwi.

Mmoja wa Waathirika hao Stephan Jonas alisema njia ya Mbadada ya kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni kuweka sheria ya kulazimisha kila kaya kupima ugonjwa huo.

"hili suala inatakiwa liwe la lazima kwa sababu watu hawapimi, wanashindwa kujitambua hivyo wanaendelea kueneza kwa wengine sheria ikiwepo kila mtu apime kwa lazima itasaidia sana," alisema

Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Bunge, Dr Jasmini Bunga alikubalina na Ombi hilo na kueleza kuwa litasaidia mkakati wa serikali wa kukabiliana na Maambukizi mapya ya Ukimwi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Shirika la JSI linashughulika na Mifumo ya maisha na Ustawi wa Jamii Dr. Tulia Tuhuma alisema shirika lake litaendelea kufuatilia maendeleo ya Konga (Vikundi vya watu wanaoishi na Virusi vya ukimwi) pamoja na kusaidia utoaji wa huduma ya Ukimwi.

Chanzo: EATV
 
FRANCIS, we ni genius na kama marekani wakisikia una kauli hiyo watakutafuta wakupoteze

Nachoamini nchi yoyote ili iendelee kimaendeleo lazima watu wawe wengi kwenye nchi hiyo, marekan anaogopa xana nchi za Africa kuendelea na ndo mana wana mpango wa kila aina kupunguza population kwa njia kama magonjwa, uzazi wa mpango. na kuleta madawa mbali mbali mbali.

hakuna njia nyngne zaid ya hiyo msiwaze masuala ya kuwanyanyapa ili watu wawe safe lazima watu waumie pia! so me naona ni sawa ila sidhan kama kuna kiongozi wa kufanya hivo
 
Another Stanley Jilaoneka Yono Kevela
 
Maneno uliyotumia kwenye bandiko lako hili yana rangi ya Hasira,
Harufu ya Chuki na Sauti ya 'Mkomoeni'
Pamoja na chembechembe nyenyevu za unyanyapaa.

Kuna nini kwani kiongozi?
Mpaka mwisho wa hii dunia hatutapata suluhisho; unless igunduliwe chanjo au dawa. Kinyime cha hapo dawa ni hiyo niliyowapa, ila mpango huu unahitaji dikteta kuufanikisha, Rais legelege hatoweza kamwe! Pia Airport pawekwe utaratibu wa wageni wote kupimwa VVU kabla ya kuingia nchini, AIDS should be treated like EBOLA! Mi nashangaaga tunabembeleza bembeleza nini na huku watu wanazidi kuambukizana kila kukicha, tena tunapeana dawa za kurefusha maisha (kurefusha muda wa kusambaza), this is shear insanity! Its madness!!
========================================
UPDATE:16/02/2018
"hili suala inatakiwa liwe la lazima kwa sababu watu hawapimi, wanashindwa kujitambua hivyo wanaendelea kueneza kwa wengine sheria ikiwepo kila mtu apime kwa lazima itasaidia sana," alisema

Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Bunge, Dr Jasmini Bunga alikubalina na Ombi hilo na kueleza kuwa litasaidia mkakati wa serikali wa kukabiliana na Maambukizi mapya ya Ukimwi.
 
Maneno uliyotumia kwenye bandiko lako hili yana rangi ya Hasira,
Harufu ya Chuki na Sauti ya 'Mkomoeni'
Pamoja na chembechembe nyenyevu za unyanyapaa.

Kuna nini kwani kiongozi?
Hii ni kweli wala hajanyanyapaa hili swala likifanyiwa urafiki na ndugu halitaisha ni kulifanyia caranteen kama wagonjwa wa kipindupindu au ebola bila hivyo hakuna kizazi kwa africa miaka ijayo
 
Hii ni kweli wala hajanyanyapaa hili swala likifanyiwa urafiki na ndugu halitaisha ni kulifanyia caranteen kama wagonjwa wa kipindupindu au ebola bila hivyo hakuna kizazi kwa africa miaka ijayo
Iwe handled kama Ebola, hakuna namna!
 
Sasa wakiweka alama na wanao fanya gizani inakuwaje au kwenye daladala... n.k
 
Hata korea kaskazini kuna ukimwi lakini hilo haliwezekani kamwe.....Ni ngumu kutekeleza maana mtu atapima leo lakin kesho anaambukizwa.
 
Hata korea kaskazini kuna ukimwi lakini hilo haliwezekani kamwe.....Ni ngumu kutekeleza maana mtu atapima leo lakin kesho anaambukizwa.
Changamoto zipo, lakini itapunguza kwa asilimia kubwa kama kuutokomeza kabisa..!!
 
Back
Top Bottom