Anakuja Yesu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 564
- 485
Piga picha sehemu zako za siri tupendekeze hiyo alama iwekwejeMpaka mwisho wa hii dunia hatutapata suluhisho; unless igunduliwe chanjo au dawa. Kinyime cha hapo dawa ni hiyo niliyowapa, ila mpango huu unahitaji dikteta kuufanikisha, Rais legelege hatoweza kamwe! Pia Airport pawekwe utaratibu wa wageni wote kupimwa VVU kabla ya kuingia nchini, AIDS should be treated like EBOLA! Mi nashangaaga tunabembeleza bembeleza nini na huku watu wanazidi kuambukizana kila kukicha, tena tunapeana dawa za kurefusha maisha (kurefusha muda wa kusambaza), this is shear insanity! Its madness!!
It has began with us for more than 30yrs now. We need a conclusion to all this madness!! Natamani nipewe madaraka niwaonyeshe how Hitler would have dealt with this menace, namkubali sana Adolph japo anamapungufu mengiFree HIV/AIDS generation begins with you! The government comes later
Ndugu yangu unanguvu ya kusema kwakua hauja kugusa.ungekuta humjii baba wala mama na ukaishi maisha magumu sidhani km ulimi wako ungeumba maneno kwa wepesi namna hiyo.Hii itapendeza sana kwa sisi tusio na VVU ila wenye VVU wataandamana mchana kweupe.
Utawasikia sisi tunapigania haki za binadamu si kwamba tuna UKIMWI. Ukimwona mtu kashika bango kuandamana ujue ameukwaa
Umepima?Hilo somo la kunyanyapaa ni propaganda ya wamarekani kuhakikisha waathirika wanapata muda wa kutosha wa kuua wenzao, tujitoe akili hata kwa miaka mi5 mfululizo, Tanzania itakuwa ndio nchi pekee ambayo watu wataweza kufanya ngono bila kondom na bila wasiwasi wankuambukizwa, hii itapelekea kuongezeka kwa idadi ya watu wanaozaliwa, na hiki ndicho Marekani wanaogopa sana ( africa's potential for population growth)
Kinyume na haki za binadamu.
Hujaeleea kabisa msingi wa hoja.Jiponye ww na nasfi yako kwanza.
~Habar za Hiv ni sawa na dhambi ndanibya kanisa, hiv kila siku ya ibada aliye tenda dhambi akiwekwa kibandiko mtoa mada ww ungepona?
~Hiyo ni hukumu ambayo unaihukumu wakati na ww hujajua mwisho.siku mkeo akikuletea au ukapata ajali ukaupata vp ukapewa alama au nembo utajisikiaje?au awe mama yako au baba yako
~Ujeukafikiri wao ndio wenye dhambi chunga kinywa chako,dhambi zote zipo sawa iwe ya bahati mbaya au makusudi ni dhambi.mwache mwenye watu awahukumu yy mwenyewe maana anajua aliko watoa.
~yale unayopenda utendewe watendee wengine.
Kwani vipi, nimeleta posa kwenu? Jadili hoja as is.Umepima?
Kwakua unaendelea kuota ngoja tukuache,hakuna ndoto ya pamoja.basi mkuu tutaonana baadae ukiamka.Hujaeleea kabisa msingi wa hoja.
1.) Hilo bandiko la watenda dhambi linawekwa sehemu inayoonekana au linafichwa? Na faida ya kuniwekea bandiko ni ipi? Dhambi inaambukiza? Sijaelewa msingi wa hoja hii.
2.)Hatuweki alama kama hukumu, tunaweka alama tena iliyofichwa mno ili kukuzuia usiue wenzio kwa makusudi, that is all!
3.)Sijasema kwamba kuwa na VVU ni kuwa na dhambi, kuna nanna nyingi za kupata.
4.) Nisingependa mtu aniue kwa makusudi, ndio maana napendekeza muswada huu
AiseeKwakua unaendelea kuota ngoja tukuache,hakuna ndoto ya pamoja.basi mkuu tutaonana baadae ukiamka.
Ndio mkuu maana ni kitu ambacho hakita kuja kutokea kamwe.kwahiyo we uta tuuu ukimaliza utaamkaAisee
Propaganda za wamarekani hizo, we inakuingia akilini hiyo?Kwa mujibu wa madaktari mtu mwenye vvu na anatumia ARV vizuri uwezekano wa kumuambukiza mtu mwingine ni mdogo sana
Basi endelea kuomba siku nisije nikakabidhiwa urais wa nchi hii, JPM mtamuona kama malaikaNdio mkuu maana ni kitu ambacho hakita kuja kutokea kamwe.kwahiyo we uta tuuu ukimaliza utaamka
Huta kaa upate mkuu hata ndotoni huta kuja kuota,maana Mungu hawezi kukupa kazi ya kuwabagua watu.kiti kibaya sana muuloze Nebukadneza yaliyompata.yaani huta kaa upate.Basi endelea kuomba siku nisije nikakabidhiwa urais wa nchi hii, JPM mtamuona kama malaika
For more than 30 years! that's why you are still alive and kicking! It is an individual war and you've won it so far, congratulations!It has began with us for more than 30yrs now. We need a conclusion to all this madness!! Natamani nipewe madaraka niwaonyeshe how Hitler would have dealt with this menace, namkubali sana Adolph japo anamapungufu mengi
mm ckumanisha vile wafikiria ww huyu jamaa anajiona yy nitofauti na binadamu wengine kana kwamba yy moja kwa moja ukimwi unawapata watu wajinga na wanapaswa kupigwa chapa mithilini ya ngombe ckupendezwa na hii hoja yake ukimwi ni mm na ww unyanyapaaji wa huyu jamaa kesho yatamkuta yy kama cyo yeye mkewe, ,mwanae na ndugu jamaa na rafiki zake.Chief jamaa amekuja na hoja yake,wewe una attack personality au mnamjuana?...Anyway hilo ni wazo lake kama suluhisho katika mapambano dhidi ya janga hili letu sote la HIV,maana sio kila muhathirika lazima awe ameshiriki ngono.Kuna case chungu mzima kwenye jamii zetu za watoto wanaozaliwa wakiwa waathirika,hivyo ni kweli kabisa inahitajika nguvu kubwa sana katika kupunguza na mwisho kumaliza kabisa maambukizi ya HIV ingawa silaha anayotaka itumike ni changamoto tosha katika jamii na inaweza sababisha maambukizi makubwa zaidi kuliko kupunguza.
Baba yako angetumia kondom leo ungekuwepo hapa?Sisi tunaoambukizwa tuache tuendelee kuambukizwa ,hata mkiweka alama sehemu za siri tukishalewa hizo alama hatutaziona,ndio maana condom zipo lakini tukilewa hatuzitumii tunakuja kukumbuka pombe zikituisha kichwani.
Hakuna cha popolation acontrol wana nini,hizi ni story za kuaminishwa tu kuliko uhalisia,Kwa mtizamo wako Africa population inaongezeka au kupungua,Ili theory yako ifanye kazi ingebidi tuone ukuaji mdogo sana wa population africa.Ila ukitizama sensa za karibia kila nchi africa watu wanaongezeka kuliko kawaida.Mfano TZ,chukua sensa ya mwaka 2002 na 2012,utaona watui wameongezeka kiasi gani.Kuna program za kupunguza child mortality rate na martenal mortality rates,pampja na kuimarika kwa huduma za afya hasa za uzazi.Tupe facts kwamba kuna agenda za population control kama unavyotuaminisha wewe.Vitu vingine ni story za vijiweni tu.Hilo somo la kunyanyapaa ni propaganda ya wamarekani kuhakikisha waathirika wanapata muda wa kutosha wa kuua wenzao, tujitoe akili hata kwa miaka mi5 mfululizo, Tanzania itakuwa ndio nchi pekee ambayo watu wataweza kufanya ngono bila kondom na bila wasiwasi wankuambukizwa, hii itapelekea kuongezeka kwa idadi ya watu wanaozaliwa, na hiki ndicho Marekani wanaogopa sana ( africa's potential for population growth)