Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳we,tumekukosea nini kwanWapumbavu tuu
dah DeepPond dr unaitwa huku[emoji28][emoji28][emoji28]Mbona dkt.DEEP POND Sijamuona kwenye list
af msmsahau dkt.popoma.
Huyu Lucas mwashambwa inafaa jina lake lianze Chawa.pro max.............Kutokana michango yao kimawazo wafuatao wanapaswa majina yaanze na. Dr.
Dkt. Mshana Jr
Dkt. Bujibuji
Dkt.Mwashambwa Lucas
Dkt.Mpwayungu
Dkt.sky cleist
Dkt. Kichwa kichafu
Dkt. To Yeye
Dkt. Kyambamasimbi
Dkt. Mayala
Hayo Ni mawazo yangu wewe pendeza wako tusimsahau Dkt wa stendi.
[emoji15]we,tumekukosea nini kwan
🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uchawa tafuta pesaKutokana michango yao kimawazo wafuatao wanapaswa majina yaanze na. Dr.
Dkt. Mshana Jr
Dkt. Bujibuji
Dkt.Mwashambwa Lucas
Dkt.Mpwayungu
Dkt.sky cleist
Dkt. Kichwa kichafu
Dkt. To Yeye
Dkt. Kyambamasimbi
Dkt. Mayala
Hayo Ni mawazo yangu wewe pendeza wako tusimsahau Dkt wa stendi.
[emoji16][emoji16]Bila Dr DeepPond dokta wa heka heka za mapenzi hizo heshima ni batili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewafanya Nini Wakuu Wa Jf?[emoji1787][emoji1787]
Kama kawaida yake wanaachana na kurudiana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Yupo busy na mama j
Ktk timu ya machawa huyu anaweza kuwa professor.Bora nijipe Mwenyewe kuliko kuvote kwa Lucas Mwashambwa!
Teknolojia ilikuwa inamuumbua anadai yéyé sio mwalimu wakati contents zake za nyuma alikuwa anaomba kazi ya ualimu diplomaNimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.
Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.
1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.
2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).
NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.
TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.