Napendekeza Wanajamiiforum wanaostahili udaktari wa heshima na wewe unaweza pendekeza

Huyu Lucas mwashambwa inafaa jina lake lianze Chawa.pro max.............
 
Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
 
Acha uchawa tafuta pesa
 
Teknolojia ilikuwa inamuumbua anadai yéyé sio mwalimu wakati contents zake za nyuma alikuwa anaomba kazi ya ualimu diploma
Ni mjinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…