Napendekeza Wanajamiiforum wanaostahili udaktari wa heshima na wewe unaweza pendekeza

Dr. Rejao, Dr. Bongolala, Dr. Malariasugu, Dr. Faizafoxy, Dr. Manjagata
 
Kumbe uchawa huanzia ngazi za chini kabisa.
Unapachika tu udaktari aiseee.
 
Kutoka chuo gani mkuu huo udr wa mchongo🕵️🕵️
 
Sawa tujitekebishe=Tujirekebishe.
 
Sioni wakali kutoka battle ya Dar es Salaam na Nairobi?

Sioni wakali kutoka Jamii Intelligence?
Kiranga na wenzie?

Sioni wakali kutoka battle ya Urusi na Ukirene?

Sioni wakali kutoka michezo?

Sasa mlitumia vigezo gani kuwapata hawa?!
 
Kwa mpwayungu hapana
 
Na Mpwayungu? we hauko serious
 
Mimi Dkt. mlokole sipo hapo...

Umenikosea sana..

[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…