Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Mbowe hakuwahi kusema tuwe na urafiki na ShetaniLea mume na wanao..mambo ya siasa huyajui na wanasiasa utawajua kwa kuchelewa sawa..
Mbowe mwenyewe alishasema katika siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu..
Hiyo ni kwa mujibu wa maoni yako mdandiaji wa siasa..kama walizunguka miaka nane kumchafua lowasa na kisha ndani ya siku moja kumsafisha kwa gharama yao wanashindwaje kuungana kwenye ulaji..Mbowe hakuwahi kusema tuwe na urafiki na Shetani
Mkuu title ingeonesha anayepinga ni Juma Duni Haji ambaye si mwanachama wa ACT Wazalendo. Huyu ni Juma Duni Haji yule tunayemfahamu au wa Chamazi?Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
CT Wazalendo sio Chadema wa kuzira kila kitu. Mna taratibu zenu na wao wana zao.Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
Ameshasema hapo juu yeye kama raia mpendwa haki wa nchi hii! Hujui kusoma?Unapinga wewe kama nani?
Utalii mnauharibu wenyewe halafu mnalaumu upinzani, jiondoeni kwenye uongozi kama mnategemea upinzaniKwann hamtaki ushirikiano? Haiwezekani uchaguzi kurudiwa, haiwezekani TL kushinda, haiwezekani Mbowe kuwa waziri mkuu.
Inawezekana kushirikiana Mbowe, TL na ccm, kuhubiri TZ yenye amani huko duniani, kuvutia wawekezaji wapya, biashara, utalii,umoja wa kitaifa na mshikamano.
soon taarifa itakuwa "kamati kuu cdm yawasamehe mdee na wenzake,waendelea na ubunge wao kama kawaida,erthrocyte azimia,Bak na bujibuji watoroka jamii forum "😂😂😂😂😂😂😂😂Mtanzania Mzalendo mpinga uovu
Kwani unateseka?Basi kajinyonge!
Mbona wanawaonea wanawake hapo Ufipa au yeye anapenda haki gani?!?Ameshasema hapo juu yeye kama raia mpendwa haki wa nchi hii! Hujui kusoma?
Wanateseka Ufipa bwashee!K
KwAni unateseka?
kwanini umemhusisha Juma Duni?Mkuu title ingeonesha anayepinga ni Juma Duni Haji ambaye si mwanachama wa ACT Wazalendo. Huyu ni Juma Duni Haji yule tunayemfahamu au wa Chamazi?
mkuu usihangaike na watu duniAmeshasema hapo juu yeye kama raia mpendwa haki wa nchi hii! Hujui kusoma?
Jiue sasaWanateseka Ufipa bwashee!
Bwashee ukiwa CCM huwezi kujiua!Jiue sasa
Unatii kama mlivyotii ilipompa lowasa kugombea urais.Kamati Kuu ikiamua "mavi"?
Ni kweli kabisa , bali waweza kuuawa kwa kuwekewa sumu , kama aliyotiliwa Mangula hadi kaamua kustaafu siasa bila kumwambia mtuBwashee ukiwa CCM huwezi kujiua!
Yes. It is a sensible and painful remark. Can it make them revisit the decision already made? I highly doubt.Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
Cdm mkijipanga kwa mkakati hiki ndo kipindi cha kuonesha kwa vitendo kwamba mnasimamia demokrasia na mnataka maendeleo.... ni wakat mzuri kwenu kuanza kusaka ufuasi huku mkihubiri itikadi yenu...Hili jambo linafikirisha mno!