Kwanini usiite ni uhuru wa kutoa maoni ambao kipindi cha Magufuli haukuwepo? usiite dharau bali huo ni uhuru wa kutoa maoni.Mfano ingekuwa Jiwe ndiye kaleta chanjo, huyo Gwajiboy angeweza kuwa anaongea hayo anayoyasema kwa kujiamini hivyo? Au ni dharau kwa mamlaka kwa sababu kabaki mama baada ya mwendazake kusepa!
Sasa mkuu akili zako hizi na za wanakondoo wake zina tofauti kweli?Hata mi sio mwanakondoo wake lkn ile kuwa na hiari haikufanyi kuwa mpumbavu sbb hujachagua upande Fulani!
How dare you call that idion a bishop!The only person looks stupid here is you and your flocks. You are doing the same thing Dorothy did to Bishop.People can not be stupid just because they don't agree with your views or decisions.
I would advise you and your colleagues to respond to the key issues concerning the vaccine, attacking someone's personality won't give you the credibility toward ant-vaccine especially when the facts are clear and well known to everybody.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Uko sahihi lakini maoni yasivuke mipaka mpaka kudharau mamlaka ya nchiKwanini usiite ni uhuru wa kutoa maoni ambao kipindi cha Magufuli haukuwepo? usiite dharau bali huo ni uhuru wa kutoa maoni.
HahahaaaaaI guess, we won't rule out your participation in the racket of ensuring he is "mahututi".
Mbona upinzani upo duniani kote lakini hujawahi pinga wapinzani wa Tanzania kukamatwa?! Au kwa kuwa kaguswa kijani mwenzio!
Askofu Gwajima should not be arrested and here is why:
His anti- COVID-19 vaccine is stupid.
Stupid people are entitled to their stupid ideas and opinions.
They have the right to be stupid and to be wrong.
Stupidity can’t be legislated. It can’t be fixed.
He and his stupid flock should be left alone to wallow in their stupidity.
Badala yake, vyombo vya dola vijikite kupambana na uhalifu na viachane na mambo ya kipumbavu.
Anti-vaxxers wapo duniani kote.
Tusitumie nguvu kuwaziba midomo hawa wa kwetu.
Napinga kukamatwa kwa Askofu Gwajima endapo atakamatwa.
Inaonekana, eidha waliosema kuwa ni HIARI hawakuelewana au maana ya HIARI waijuayo wao siyo ile tuijuayo sisi...He is not Stupid!
Chanjo hapa kwetu ni hiari amechagua hiari ya kutochanjwa yeye na watu wake. Huwezi muita mpumbavu
🤣🤣🤣🤣The only person looks stupid here is you and your flocks. You are doing the same thing Dorothy did to Bishop.People can not be stupid just because they don't agree with your views or decisions.
I would advise you and your colleagues to respond to the key issues concerning the vaccine, attacking someone's personality won't give you the credibility toward ant-vaccine especially when the facts are clear and well known to everybody.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Una uhakika sijawahi kabisa kupinga kukamatwa kwa wanasiasa wa upinzani Tanzania au unaropoka tu asiye na akili?Mbona upinzani upo duniani kote lakini hujawahi pinga wapinzani wa Tanzania kukamatwa?! Au kwa kuwa kaguswa kijani mwenzio!
Ndiyo ninaoUna uhakika sijawahi kabisa kupinga kukamatwa kwa wanasiasa wa upinzani Tanzania au unaropoka tu asiye na akili?
Safi!Ndiyo ninao
Niweke nini Sasa?! Uhakika?Safi!
Uweke basi hapa ili uthibitishe ulichokisema, tafadhali.
Ushahidi/ uthibitisho kuwa sijawahi kupinga kukamatwa kwa wanasiasa wa upinzani wa Tanzania.Niweke nini Sasa?! Uhakika?
Acha uongo nenda kasikilize tena mahubiri yakehe is very stupid
Kama ni hiyari, basi akae kimya au atoe sababu za msingi... kutuhumu rais kapewa pesa is way beyond his weight
Acha akumbane na rula ya mwalimu
Ndo maana hata polisi hawajamkamata, mpumbavu ni wewe mwenyeweNi mpumbavu…
Ficha ujinga wako, Suala la chanjo na elimu ni tofautiKimwetere aliwaingiza mkenge waumini kimasihara Kama hivi,watu wake gwajima since akawa na watu,je siku akitokea nabii nakusema watu wangu marufuku kwenda shule
Sijasema ninaushahidi nimesema ninauhakika, hujawahi kuandika kuhusu hilo unategemea utakuwepo ushahidi wa aina gani!Ushahidi/ uthibitisho kuwa sijawahi kupinga wanasiasa kukamatwa kwa wanasiasa upinzani wa Tanzania.