Napinga Askofu Gwajima kukamatwa

Sijasema ninaushahidi nimesema ninauhakika, hujawahi kuandika kuhusu hilo unategemea utakuwepo ushahidi wa aina gani!
Uhakika wako kuwa sijawahi kuandika kupinga kukamatwa kwa wanasiasa wa upinzani unautoa wapi?
 
You are a stupid person of similar magnitude. You similarly have that right.
The Minister have similar stupidity like your are asserting!

Kwa mantiki hiyo, Viongozi wote wa dini ni stupid. Wote hawa kwa zaidi ya miaka 30 wamekataa kukubali matumizi ya kondomu kwa sababu ambazo serikali imekuwa ikishindana nao. Hatuoni nguvu kama hiyo ikitumika.
 
🤣🤣🤣🤣

Umejitahidi!
 
Uhakika wako kuwa sijawahi kuandika kupinga kukamatwa kwa wanasiasa wa upinzani unautoa wapi?
Kwa sababu hujawahi kuandika ndo maana ninauhakika huo, Kama umewahi kuandika weka hapa ushahidi.
 
View attachment 1896152

If you think this person is stupidy, then I advice you to adjust your thought of mind.
Yupo sahihi na anasimamia anachoamini na kawapa MAKAVU hao mawaziri VINYONGA.

Askofu ana hoji miezi minne hadi sita iliyopita hao mawaziri walikuwa wanajifukisha na kunywa MITISHAMBA,kipi kilichowafanya kuwa VINYONGA?

Je Tunaweza kuwa trust vipi VIONGOZI wa aina hii?
 
Raisi anawakilisha nembo ya Taifa, ukisema Tz, msemaji wake ni raisi, anaecheza na kauli za raisi asihojiwe? Labda huko kanisani kwake hahojiwi kuhusu ufufuko, ila akicheza na Taifa analo. Akamatweeeeeeeeeeeeeeee!!
 
he is very stupid

Kama ni hiyari, basi akae kimya au atoe sababu za msingi... kutuhumu rais kapewa pesa is way beyond his weight

Acha akumbane na rula ya mwalimu
Kwanini akae kimya?

Je si kweli Dorothy Gwajima na Molel miezi minne au sita nyuma awakutumbia tugonge nyungu na tutumie mitishamba?

Kwanini wamebadilika ghafla, utawaamini vipi viongozi vigeu vigeu?

Askofu Gwajima yupo sahihi.
 
Raisi anawakilisha nembo ya Taifa, ukisema Tz, msemaji wake ni raisi, anaecheza na kauli za raisi asihojiwe? Labda huko kanisani kwake hahojiwi kuhusu ufufuko, ila akicheza na Taifa analo. Akamatweeeeeeeeeeeeeeee!!
Shit! Kondomu zimelazimishwa? Mbona viongozi wote wa dini wanazipinga?
 
Kwa sababu hujawahi kuandika ndo maana ninauhakika huo, Kama umewahi kuandika weka hapa ushahidi.
 
Nduguyo msukuma huyo!
Hata Mimi sioni sababu ya Gwajimaaa kukamatwa.
 
Hapa ulikuwa bado ujawa wa kijani, nafahamu miaka minne nyuma hukuwa wa kijani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…