Napinga Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza kufeli kwa wanafunzi wengi wa Law School

Napinga Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza kufeli kwa wanafunzi wengi wa Law School

Kwenye diploma hamna kitu kinaitwa 'first class'

First class inatumika kwenye degree tu.

Law School hawatoi degree bali ni Post Graduate Diploma in Legal Practice, PGDL, na Certificate.

Naona mjadala umejaa kenge!
-naona graduate wa KIU umekuja
 
Huyu huyu aliekataa chapisho lake kuhusu serikali tatu?????
Nakujibu hivi: Kwanza siyo kweli kuwa mchele wa Kyela ndiyo mchele mtamu duniani. Mchele wa Kyela ya sasa hovi ni kati ya michele ya ovyo sana duniani maana unapandwa kwa kurumia mbolea za chumvi chumvi, kama unabisha njoo hapa mimi nipo Kyela.

Pili kwa kutokumwamini Dr Mwakyembe kwa sababu ulizozitoa inaonesha kabisa wewe ni mmoja wa hao waliofeli mtihani huo maana sababu ulizozitoa za kumkataa Dr aliyebobea katika sheria tena aliuesoma wakati ule na siyo wa sasa, hazina mashiko yoyote!

Uzuri ni kwamba hata kama unapinga uteuzi wake, yeye tayari yupo kazini tunachosubiri ni ripoti yake na tume yake!
 
Kuna tofauti kubwa mno kati ya hoja na viroja
Sasa si utoe hoja zako mkuu? Chuki tu ndio maana watanzania tunaonekana wapumbavu kila mahali. Mkuu katoa hoja zake na zimeeleweka wewe unakuja hapa na mahasira yako. Hata kama una mimba umezidi makasiriko bibie!
 
Kwenye diploma hamna kitu kinaitwa 'first class'

First class inatumika kwenye degree tu.

Law School hawatoi degree bali ni Post Graduate Diploma in Legal Practice, PGDL, na Certificate.

Naona mjadala umejaa kenge!
-Huu ni uongo, Law School (pgdlp)pia kuna madaraja yake, eg first class inaanzia 3.0-2.7, second class inaanzia 2.0-2.6, pass ni 1.9-1.0
-mimi na ww nani kenge sasa?
 
-Huu ni uongo, Law School (pgdlp)pia kuna madaraja yake, eg first class inaanzia 3.0-2.7, second class inaanzia 2.0-2.6, pass ni 1.9-1.0
-mimi na ww nani kenge sasa?
Kenge ni wewe, Aikambee amekueleza kitaalamu kuwa hizo first class nk matumizi yake ni kwa levo ya digrii. Kuwa na madaraja LST ni sawa na kusema hata watoto wa chekechea wanavaa majoho wanapograduate kwa hiyo ni haki yao na serikali ilikosea kuwakataza kuvaa.

Hata hivyo bado unakua kenge kwa kuwa hayo madaraja ya LST unayoyataja hayatumiki wala kutajwa popote. Kinachoangaliwa ni status ya ufaulu wa mwanafunzi, PASS au FAIL.
 
Kenge ni wewe, Aikambee amekueleza kitaalamu kuwa hizo first class nk matumizi yake ni kwa levo ya digrii. Kuwa na madaraja LST ni sawa na kusema hata watoto wa chekechea wanavaa majoho wanapograduate kwa hiyo ni haki yao na serikali ilikosea kuwakataza kuvaa.

Hata hivyo bado unakua kenge kwa kuwa hayo madaraja ya LST unayoyataja hayatumiki wala kutajwa popote. Kinachoangaliwa ni status ya ufaulu wa mwanafunzi, PASS au FAIL.
Asante kwa kunisaidia
 
Kenge ni wewe, Aikambee amekueleza kitaalamu kuwa hizo first class nk matumizi yake ni kwa levo ya digrii. Kuwa na madaraja LST ni sawa na kusema hata watoto wa chekechea wanavaa majoho wanapograduate kwa hiyo ni haki yao na serikali ilikosea kuwakataza kuvaa.

Hata hivyo bado unakua kenge kwa kuwa hayo madaraja ya LST unayoyataja hayatumiki wala kutajwa popote. Kinachoangaliwa ni status ya ufaulu wa mwanafunzi, PASS au FAIL.
-kwa hiyo kama hizo GPA hazina matumizi ndiyo hoja ya kusema hakuna gpa LST?
-kwa nini kwenye trnascript kuna mahali pameandikwa maneno haya 'KEY CLASSIFICATION' ? ambapo hapo wameonyesha First class, Second Clasw,na Pass inaanzia ngapi mpaka ngapi?
-Cheti cha trascript kimeandikwa GPA uliyopata na classification yake kwamba ni second class, first au Pass?
-btw huwezi kujua hayo kwa sabbu umedisco, au hujawahi kuona transcript ya Lst
-bado ww ni mbugila
 
Asante kwa kunisaidia
kasome transcipt kuna sehemu imeandikwa KEY CLASSIFICATION ambapo imeonyesha First class ni ngapi, second class ni ngapi, na pass ni ngapi
-na pia gpa uliyopata unawekewa kama na 2.4 unaiona pale, halafu unashuka chini kuangalia kwenye key classification hiyo 2.4 Ni ngapi i.E iko kundi gani
 
kasome transcipt kuna sehemu imeandikwa KEY CLASSIFICATION ambapo imeonyesha First class ni ngapi, second class ni ngapi, na pass ni ngapi
-na pia gpa uliyopata unawekewa kama na 2.4 unaiona pale, halafu unashuka chini kuangalia kwenye key classification hiyo 2.4 Ni ngapi i.E iko kundi gani
Vijana tunawashukuru sana kwa kufunguka kisomi , lakini ni vema tukajikita kwenye hoja ili tuwasaidie wanaosoma kwenye shule hii
 
Vijana tunawashukuru sana kwa kufunguka kisomi , lakini ni vema tukajikita kwenye hoja ili tuwasaidie wanaosoma kwenye shule hii
Disemba 10, 2015 Rais Magufuli wakati akitangaza Baraza lake la Mawaziri alimteua Dk. Harrison Mwakyembe kuwa Waziri wa Katiba na Sheria nafasi aliyoishikilia mpaka 23 Machi 2017 alipobadilishiwa wizara na kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akijaza nafasi ya Bwana Nape Nnauye. Shule ya Sheria Tanzania (LST) ipo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria.

Malalamiko juu ya usahishaji wa mitihani na utoaji matokeo wa LST kuwa mbovu hayajaanza jana, ni ya muda mrefu toka tu shule hiyo ilipoanzishwa mwaka 2008. Pindi alipokuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mwakyembe alikuwa akiisimamia shule hiyo na hata kufanya mazungumzo na watendaji wake hata hivyo hakuwahi kutoa uamuzi wowote juu ya mamalamiko hayo, tafsiri inayoweza kusemwa ni kuwa aliyapuuza. Mfano tarehe 22 Februari 2017 alitembelewa na makamu mkuu wa Chuo, Lukumay na viongozi wengine na kufanya mazungumzo wayajuayo wao ama labda walijitetea juu ya mamalamiko ya wanafunzi na akayaamini na kutochukua hatua, angalia hapa Law schoool wamtembelea dkt Mwakyembe ofisini kwake mjini Dodoma

Kumteua Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati itayochunguza malalamiko ambayo hakuyachukulia hatua ama ambayo aliyapuuza wakati wa uongozi wake wa Wizara sio jambo sawa. Kwanza tayari mtu huyu ana mgongano wa maslahi, maana anachunguza kitu ambacho anakijua tayari kwa kuwa malalamiko juu ya LST sio jambo jipya. Mheshimiwa Waziri Ndumbaro, tafadhali mteue mtu mwingine asiye na mgongano wa kimaslahi awe kiongozi wa kamati hiyo, Mwakyembe hastahili sio tu kuwa Mwenyekiti bali hata kuwa mjumbe wa kawaida wa Kamati hiyo.

Pichani ni Mwakyembe akiwa pamoja na Kina Lukumay ambao kimsingi ndio wanaotuhumiwa kuonea wanafunzi (LST).
Screen Shot 2022-10-14 at 3.08.29 PM.png
 
Itasikitisha sana, endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Disemba 10, 2015 Rais Magufuli wakati akitangaza Baraza lake la Mawaziri alimteua Dk. Harrison Mwakyembe kuwa Waziri wa Katiba na Sheria nafasi aliyoishikilia mpaka 23 Machi 2017 alipobadilishiwa wizara na kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akijaza nafasi ya Bwana Nape Nnauye. Shule ya Sheria Tanzania (LST) ipo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria.

Malalamiko juu ya usahishaji wa mitihani na utoaji matokeo wa LST kuwa mbovu hayajaanza jana, ni ya muda mrefu toka tu shule hiyo ilipoanzishwa mwaka 2008. Pindi alipokuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mwakyembe alikuwa akiisimamia shule hiyo na hata kufanya mazungumzo na watendaji wake hata hivyo hakuwahi kutoa uamuzi wowote juu ya mamalamiko hayo, tafsiri inayoweza kusemwa ni kuwa aliyapuuza. Mfano tarehe 22 Februari 2017 alitembelewa na makamu mkuu wa Chuo, Lukumay na viongozi wengine na kufanya mazungumzo wayajuayo wao ama labda walijitetea juu ya mamalamiko ya wanafunzi na akayaamini na kutochukua hatua, angalia hapa Law schoool wamtembelea dkt Mwakyembe ofisini kwake mjini Dodoma

Kumteua Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati itayochunguza malalamiko ambayo hakuyachukulia hatua ama ambayo aliyapuuza wakati wa uongozi wake wa Wizara sio jambo sawa. Kwanza tayari mtu huyu ana mgongano wa maslahi, maana anachunguza kitu ambacho anakijua tayari kwa kuwa malalamiko juu ya LST sio jambo jipya. Mheshimiwa Waziri Ndumbaro, tafadhali mteue mtu mwingine asiye na mgongano wa kimaslahi awe kiongozi wa kamati hiyo, Mwakyembe hastahili sio tu kuwa Mwenyekiti bali hata kuwa mjumbe wa kawaida wa Kamati hiyo.

Pichani ni Mwakyembe akiwa pamoja na Kina Lukumay ambao kimsingi ndio wanaotuhumiwa kuonea wanafunzi (LST).
View attachment 2386963
Mwakyembe jiondoe kwenye tume hii haraka
 
Nimesoma weeeee !! lakini sijaelewa ulichoandika yaani !
Hiyo ni kawaida sana! kwa watu km sisi!!........Hata wanasheria robo tatu walio fail wale! walisoma weeee! Darasani miaka kadhaa, lkn hawakuelewa !...wewe ni nani utuelewe sisi Manabii wa Mungu??

achia wenye uelewa waelewe! wenye masikio wasike!...usitake kujua kila kitu ....sisi De chosen few ndo tulivyo kamwe hatuwezi kujikataa!...there's no way you can take it out from Us!
 
Back
Top Bottom