Hata mimi, I don't give a damn about English... English as English, as Language, YES! I don't care!
Hata hivyo, usichanganye kati ya "sisi" na hizo nchi nyingi duniani wasioongea English kwa sababu wao tayari wameshachagua
kinadharia kutoongea English na
kivitendo kutotumia English wakati sisi tumechagua
kinadharia kuongea English na
kivitendo kutumia English"... sijui nimeeleweka!!
Na kwavile tumeshachagua kivitendo kutumia English pasi na sababu za msingi, basi linapokuja suala la law, hapo huwezi kuipuuza English, na naweza kusema law ni miongoni mwa fields chache ambazo ndo zinahitaji hasa uelewa mkubwa wa English pengine kuliko hata yule anayesoma Bachelor of Arts in English yenyewe!!
Ukitaka kujua ujinga wa English na Sheria, maneno kama "may" na "shall" tu yameshawahi kuleta mijadala mikubwa sana ya kisheria hata huko kwa native English speakers wenyewe!!
That's Law!
Nikirudi kwenye hoja ya
Erythrocyte, nakubaliana nae yote aliyoongea kuhusu Mwakyembe...
Mwakyembe ni mwongo, mjivuni, ana kiburi, ana dharau... in short ana sifa zote zinazom-disqualify sio tu kuongoza tume kama hiyo bali hata kuwemo kwenye tume yenyewe!
Hili la matokeo ya LST sijalifuatilia manake nalisikia tu juu juu! Hata hivyo, sitaki kuwa mnafiki bhana!! Pale LST wakiamua kuwa "fair" wallah nakuambia wengi lazima watafeli...
Ni bahati mbaya sana hivi sasa Law watu wanaichukulia poa sana lakini law isn't for everybody... sio tu Tanzania bali duniani kote!! People love law but law has no affection to anybody!!
Sio kwamba eti Sheria ni ngumu ile mbaya... hell no but REAL Law is more than having your LLB transcript typed with First Class hata kama ni First Class halali kabisa ingawaje hizi za siku hizi, ah... acha tu nikae kimya!!
Wapenzi wa legal drama wanamfahamu vizuri sana Mike Ross wa Suits ambae sifa yake kuu ni uwezo wa kukariri... yaani ana photographic memory!
Uwezo wa kukariri ni muhimu sana kwenye law, YES... ni muhimu but when it comes to a REAL LAW, hii ni zaidi ya uwezo wako wa kukariri bali kuwa na uelewa wa kivitendo na jinsi ya kukitumia kwenye real world kile ulichokariri... yaani a practical understanding and application in the real world!!
By REAL LAW above ndo namaanisha hayo mambo mawili.... uwezo mkubwa wa kukariri na practical understaning and application ya kile ulichokariri!!
Na kwa jinsi ninavyofahamu, lengo kuu la LST ni kutengeneza combination ya mambo hayo makuu mawili coz' Kwenye mifumo yetu ya elimu, uwezo wako mkubwa wa kukariri unaweza kukupa First Class ya LLB lakini ukifika LST unaweza kukwama kama huna practical understanding ya yale unayokariri.
Ni kutokana na ukweli huo mchungu ndo maana watu kama akina Tundu Lissu wanapatikana kwa uchache sana kwenye ulimwengu wa kisheria!
Amini amini nawaambia, sometimes watu wanaamua tu kwamba "ah, wapeni tu bhana hao watoto" lakini na dunia yetu hii inayokuwezesha ku-bet hata ukiwa kitandani, huku upande mwingine ukisubiria kuwa bilionea kupitia Kalynda, nyie... LST wakiamua kukaza basi misiba kama hii itakuwa jambo la kawaida tu....