Mashirika mengine kama KLM, KQ na ethiopian, emirates wanafaanyaje na za kwao pia haitengenezeki ingawa ni boeing hizo hizo?
Kelele nyingi.... jamaa anahitaji majibu hapo juu.Mafundi wapo apo Tandale na Kenya wana tengeneza na kutoa certificate kabisa pelekeni! Au South Africa pia
Sawa zina tengenezeka piga makofi shangilia apo Tandale tu wana Zi tengeneza!Ukiskia mtu mzima ovyo basi ndio mfano wewe. Umeulizwa maswali huwezi kuyajibu unaandika upupu
CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
Usisome mstari mmoja halafu ukahitimisha, soma kikamilifu upate uelewa kamili.Kumbe zinatengenezeka, kwaio CAG amewapotosha watanzania na viongozi wake kwa ujumla kwa kudai kuwa zikiharibika hazitotengenezeka.
Basi asiseme kuwa hazitenegenezeki maana serikali inaweza kulipa fedha shirika kutengeneza izo ndegeKama nilivyoelewa ni kuwa hakuna bakaa ya fedha za matengenezo kutokana na deni kubwa wanalodaiwa na wakala wa serikali. Nimeona kama ameshauri wafanye review ya hizo gharama za ukodishaji wa ndege ili ziwe 'more realistic' (kwa sasa ni kubwa mno hazilipiki)
Alichomaanisha ni kwamba, kama pesa iliyopangwa kutengwa kwa ajili ya kufanya matengenezo haijawahi kupatikana kupitia faida ya shirika ni kwamba zikiharibika hazitengenezeki maana hakuna fedha. Watu mbona hivi lakini?Kuna rafiki yangu usiku wa kuamkia leo saa 1 alinitumia msg kunionesha hio ishu akiwa anafurahia. Nikamuuliza swali hadi sasa kashindwa kujibu, je ndege hizo hazina spea hata CAG aseme kuwa hazitengenezeki? Maana 787 ni ndege ya juzi tu katia line ya boeing, hizo bombardie nazo za juzi tu, sasa feni likiharibika, CAG anatwambia haitotengenezeka 😀 Alichoweza kuniambia ni kuwa CAG ndio kasema!
Kumbe umepotoshwa ukapotoka mazima... walau saivi utakuwa na ka idea kidogo.Sawa zina tengenezeka piga makofi shangilia apo Tandale tu wana Zi tengeneza!
Mnapata wapi nguvu ya kuji fananisha na Emirates!! Na KLM!Kelele nyingi.... jamaa anahitaji majibu hapo juu.
Kwa hivyo shirika litakuwa linachukuwa fedha kutoka serikalini kutengeneza ndege ambazo haziwezi kujiendesha. Mwisho inakuwa hasara tupu kama ilivyo sasa.Basi asiseme kuwa hazitenegenezeki maana serikali inaweza kulipa fedha shirika kutengeneza izo ndege
Serikali inaweza kulipa shirika fedha kutengeza ndege, ni shirika la umma hakuna tatizo serikali kulisaidia mpaka litakapojiweza ama pale itakapooneana haiwezekani kabisa. .Alichomaanisha ni kwamba, kama pesa iliyopangwa kutengwa kwa ajili ya kufanya matengenezo haijawahi kupatikana kupitia faida ya shirika ni kwamba zikiharibika hazitengenezeki maana hakuna fedha. Watu mbona hivi lakini?
wewe ndiyo unayepinga umesomea wapi yaani upembuzi wa mmiiaaka 51 uje utumike leo, bei ya nono, saruji, mitanndo ya miaka 51 itumike leo,, mbonaa uunnajitoa uufahamu wwewe/CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
Bado hujajibu swali. Etiopia wana 787 deamliner, ya kwao haitenegenezeki pia?Mnapata wapi nguvu ya kuji fananisha na Emirates!! Na KLM!
Yani wewe uuze mihogo yako upate mia tano alafu unataka kujifananisha na bill gates!!? Inawezekana?
Hao "wataalamu" wa "nje" wa kutoa ushauri ili kukwamisha miradi ya kimkakati, hamstuki tu?Nikurudishe nyuma kidogo, CAG akiwa anatoa riport hii kwa mara ya kwanza kwa Mheshimiwa Rais alieleza wazi, ripoti yake imehusisha pia wakaguzi wa nje "Consultants". Kwa misingi hii ni wazi katika mradi complex kama huu alitumia hao wataalamu.
Kipangwe na nani na jamaa alikuwa na pacemaker? Harakati za uchaguzi zilimchosha sana, hivi alikuwa anatembea na msururu wa ambulances ngapi vile?Tunaposema kifo cha JPM kimepangwa muwe mnaelewa sasa.
Kumbuka, shirika limefufuliwa likiwa na madeni.Kwa hivyo shirika litakuwa linachukuwa fedha kutoka serikalini kutengeneza ndege ambazo haziwezi kujiendesha. Mwisho inakuwa hasara tupu kama ilivyo sasa.
Mfano wako ukiona gharama za matengenezo ya gari ni kubwa kuliko faida unayopata unaishia kuliuza.
CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
Unaposikia ndege hazitengenezeki cag ameangalia maeneo mawili la kwanza atcl imekodi ndege kwa wakala wa ndege za serikali,lakini hajalipa pesa bado kwa wakala wa ndege za serikali hadi cag anaandaa ripoti.CAG alisema ndege zikihaibika hazitengenezeki, sijamuelewa. Alieelewa anieleweshe namie. Kwani hakuna Spea za Boeing na bombardier?
Unajua maana ya shirika la umma linalojiendesha kibihashara wewe?Serikali inaweza kulipa shirika fedha kutengeza ndege, ni shirika la umma hakuna tatizo serikali kulisaidia mpaka litakapojiweza ama pale itakapooneana haiwezekani kabisa. .
Mashirika ya imma yote yanajiendesha kwa hasara hakuna hata moja linajiendesha kwa faida, yanasavaivu kwa ruzuku. Ndomana wanasema c vema serikali kufanya biasharaUnajua maana ya shirika la umma linalojiendesha kibihashara wewe?