Napinga: Hivi CAG Ana watu wenye utaalamu na hydropower stations, hakupaswa kutoa msimamo katika Mambo ya kitaalamu

Napinga: Hivi CAG Ana watu wenye utaalamu na hydropower stations, hakupaswa kutoa msimamo katika Mambo ya kitaalamu

"NAAAM....!

Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.

Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.

Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.

Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.



Nawasilisha
Bado hujaelewa ukielewa vizur utachangia vizuri
 
Kwenye Audit Kuna kitu kinaitwa
"Consider the use of experts" hata mradi wa nuklia Auditor anakagua...hata mradi wa upasuaji wa moyo anakagua
issue ni kuwa ana wataalamu au ametumia wataalamu gani?
 
Wakati ule mtera ilikuwa kila wakati kina cha maji kilikuwa kinapungua, miaka mitano iliyopita hatukusikia upungufu.

Sasa hivi Kuna some kind of surbotage inaendelea, labda ndiyo justification zinatafutwa ili kuhalalisha Ile miradi ya kifisadi ya gesi.

Bado umeme wa maji utaendelea kuwa cheap for many years to come.
 
Kipangwe na nani na jamaa alikuwa na pacemaker? Harakati za uchaguzi zilimchosha sana, hivi alikuwa anatembea na msururu wa ambulances ngapi vile?
Hujasikia kwamba pacemaker zinaweza kuwa hacked kwa urahisi? Hata hivyo sadaka yake ni mbegu iliyopandwa ardhini, imeshaota isubiri tu kuzaa matunda. Vita aliipiga, mwendo ameumaliza, njia ameionesha, kazi kwetu sasa.
 
Wale wamesha break even, wana fungu la kutengeneza ndege wakati wowote na ata wakikopa serikalini wanaweza kuonyesha watapata wapi za kulipia sasa ATCL hawana mwelekeo wa kupata faida, serikali ikiweka pesa yoyote pale kiuhasibu ni ufisadi kama ule wa EPA
Mkuu pamoja na yote tuna daiwa na mabeberu pesa nyingi kuliko hizo ndege yani waki zidaka wata taka na peza za ziada je apo zinatengenezeka?
 
Tatizo lako ni kuwa na akili ndogo.... Unavyofikiri wewe, mfano British Airways Boeing 747 ikiharibika inasafirishwa kwenda USA kutengenezwa? Nini kazi ya Engineer wa ndege sasa?

Kwa mfano, ndege imekufa engine na inataa kuwa replaced, unataka kunambia inapelekwaje USA kufungwa engine nyengine?

Una kazia ujinga wa ndani ya boksi tu

Una ubishi usiokuwa na maana.
Laiti ungesoma post zilizotangulia, usingeandika haya uliyoandika.
Kuandika kwenyewe hujui!

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Yes that is a good question.
Hata Mimi ningefurahi kujua
 
Tatizo lako ni kuwa na akili ndogo.... Unavyofikiri wewe, mfano British Airways Boeing 747 ikiharibika inasafirishwa kwenda USA kutengenezwa? Nini kazi ya Engineer wa ndege sasa?

Kwa mfano, ndege imekufa engine na inataa kuwa replaced, unataka kunambia inapelekwaje USA kufungwa engine nyengine?

Una kazia ujinga wa ndani ya boksi tu

Angalia apo utawaona ma Engineer wa emirate!
2014 emirate walijengewa jengo lao la garage kwa dola 100M lenye uwezo wa kufanyia matengenezo engine 300 tu kwa mwaka! Wana ndege ngapi emirate?
 
Wapumbavu wanakurupuka kuja kuonyesha ujuha wao humu kwa mamba wasiyokuwa na ufahamu nayo. Badala ya mtu kuuliza kwanza ANAKURUPUKA TU!
Unaposikia ofisi ya CAG unahisi ni kikundi cha wacheza ngoma Mkuu? Pale hata kama ni Chemicals hazipo sawa watasema na watashauri.

Umeshawahi kufanyiwa Auditing?
 
Wapumbavu wanakurupuka kuja kuonyesha ujuha wao humu kwa mamba wasiyokuwa na ufahamu nayo. Badala ya mtu kuuliza kwanza ANAKURUPUKA TU!
Wengine sie ni wataalamu wa Mambo hizo
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kumbe zinatengenezeka, kwaio CAG amewapotosha watanzania na viongozi wake kwa ujumla kwa kudai kuwa zikiharibika hazitotengenezeka.
Ndio haseme hazitengenezeki. Naanza Kupata mashaka na report Yake [emoji19][emoji19]
 
Hata mi sijasomea mambo ya dam constructioj ila kutumia feasibility study ya 1970 kwa dunia hii inayokwenda mbio ni jambo la kuhoji
Kama tunatumia feasibility study ya Mwaka 1970, siejii Anataka tutumie ya Mwaka Gani?
 
CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za Serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.

Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.

Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.

Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi?

Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, TPDC anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halafu wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai.
Wewe sasa...mwenye wataalamu kuliko CAG? Unayejibu hata hujaisoma vizuri ripoti ya CAG vizuri kuwa inasemaje!! CAG hatakiwi kutoa angalizo lolote anapaswa kusifia kilakitu ili kumtukuza Muungu wenu!! Leo kakosoa ofisi take haina wataalamu umepitia vyeti vyao??!!
Kijanaa CAG anakuja na mapendekezo ili tuboreshe pale tulipoyumba ninani kawafundisha kukosoa ni dhambi? Kila mradi mlitaka aseme "excellent nakubaliana na hoja kwa asilimia 100" kama wale wabunge wenu wazito kufikiri na waoga kusema??
Huu upuuzi wa kusifu na kuabudu utawapeleka pabaya nawaasa... Vijana hamjui kuhoji!! Hamko critic!!hamuulizi maswali! Hamchambui hoja!hamjui kujenga mawazo,hamuwezi kufikiri nje ya kionekanacho! Hamuwezi tathmini pros and cons ndiyo maana kimataifa mnaonekana mbulula!!taiga halisongi shauri ujinga umewajaa!!
Fatilia mataifa yaliyoendelea na yawasomi uone miradi inavyochambuliwa tena miradi ya maana kwelikweli kusudi tuu ilete tija zaidi...ninyi mnataka kilamtu asifu tuuuuu! Jinga sana mnakeraaaaa
 
Tunaposema kifo cha JPM kimepangwa muwe mnaelewa sasa.

Kikelangwa na nani katika ulinzi ule na mitambo ile ya kunasa mawasiliano ya kila mtu,?

Unafikiri kumuua rais ni jambo la kufanya kirahisi rahisi tu?

Acheni kupotosha umma!
Rais ni Mama yetu mpendwa sana Suluhu. Na ameshaanza kutupati Suhuhu ya matatizo yetu.
Asiyekubaliana na mabadiliko amfuate anayemtaka huko anakoona atamletea maendeleo .
Mungu hawezi akawaumiza watu mil. 61 bila sababu. Mungu siku zote anawasaidia watu wake kwa wakati wake.
 
Yaani tuweke mabilion kwenye huduma isiyo ya lazima? Precession Airways na fastjet tulikuwa tunawapa shilling ngapi? Walikuwa hawatoi huduma bora kwa bei ya chini kuliko hiyo ya atcl? Umesikia habari ya board members wasio na utaalam wa uendeshaji biashara ya ndege? Mradi wa ATCL ni white elephant kama siyo yellow



Sijajua walikimbilia kununua mindege kwa sababu ya watu kukosa usafiri wa kwenda ulaya , mikoani au waliamua tu kuwahadaa watu ili wapate misifa huku wao wakiendelea kujilimbikizia mali!
 
Team Jiwe kazini !
Shujaa wa Africa

FB_IMG_1618015913865.jpg
 
Back
Top Bottom