Napinga: Hivi CAG Ana watu wenye utaalamu na hydropower stations, hakupaswa kutoa msimamo katika Mambo ya kitaalamu

Umeshaambiwa ...Sheria inawawaruhusu ...Consider use of experts na inafanyika!
Kuhusu Mto Rufiji...ndugu acha ushabiki.Hivi unajua mabadilliko ya tabia nchi yalitikea bonde la mto Rufiji miaka ya hivi karibuni!
Unafahamu ni mito mingapi inayotiririsha maji bobde la Mto Rufiji kwa Sasa ukilnganisha na miaka ya 1970s
Kama ni kweli walitumia Upembuzi wa mwaka 1970 ,Basi ttusubiri kuwekwa kwenye kumbukumbu za Dunia za maamuzi ya kipumbavu!
 
Tulikuwa hatuna utaalamu wa mambo ya gesi na mitaji
 
Nimekujibu mda mrefu Sana hutaki kuelewa tu!
Hazitengeneki maana hakuna paku tengenezea!? Zita dakwa pia hazina faida ya kujikomboa!
Kuna mchangiaji mmoja hapa alisema kuwa hazitengenezeki kutokana na kukosa hela. Wewe unaleta mambo ya ufundi kitu ambacho hakiingii akilini
 
Tuliza mshono huo ili sindano ya CAG iwaingie vizuri mpone.
Shida ni CAG kuonyesha dikteta Magufuli lilikuwa jizi na lipigaji.
Mbona seif nae kafariki lkn kaacha legacy njema uku nyuma??
Tutende mema ili kuzihacha legacy zetu zikivuna sifa tele sasa na miaka ijayo uko mbele.
 
Mleta mada wewe ni mtaalamu ktk eneo hili?
Umejuaje kama hana wataalamu ktk hili?
Mbona kuna kundi linakereka sana na huu ukaguzi?
 
Shida ni CAG kuonyesha dikteta Magufuli lilikuwa jizi na lipigaji.
Mbona seif nae kafariki lkn kaacha legacy njema uku nyuma??
Tutende mema ili kuzihacha legacy zetu zikivuna sifa tele sasa na miaka ijayo uko mbele.
Upo sahihi kabisa mkuu mtu anawacha alichojiandaa kuwaachia
 
Mleta mada wewe ni mtaalamu ktk eneo hili?
Umejuaje kama hana wataalamu ktk hili?
Mbona kuna kundi linakereka sana na huu ukaguzi?
Hilo ni kundi ambalo lilikuwa linsnufaika na mwendazake na alisha waaminisha wafuasi wake kuwa kwenye utawala wake hakuna ufisadi.
 
CAG ana wataalamu aina zote
 


 
Anaweza kuwa ni FILIMBI INAYOPULIZWA tu wanaopuliza wako kona nyingine sisi tuaangalia mlio unapotokea
Wakati ni Mwalimu Mzuri tusubiri.
Hata hivyo ujenzi wa Bwawa la Umeme ulikuwa unapingwa "ndani na nje" ulishindikana tu sasa umarudi kwa "kasi na ari mpya kwa maisha bora ya kila Mtanzania"
 
Hapa uko sahihi nimekutana na kijana pahala anasema haya mambo nikamuuliza una utaalam wa haya mambo kwa sababu nijuavyo mimi feasibility ni study inayofanyika ili kuona wapi structure ijengwe kwa kuzingatia laydown ya miamba au ardhi ambapo hiyo structure itajengwa.
Si rahisi kwamba kulikua na movements of tectonic forces ambapo zilisababisha kudeform ile ardhi kuanzia 1970 hadi leo.
However 1917 tumeambiwa walihuisha ile study kiasi fulani.
Pia wengi wanaozungumzia hili suala wanachanganya kati ya visibility study na BOQ.
Visibility study haitoi cost ya kujenga bwawa bali ni BOQ.
 
Kwenye audit standard zinaruhusu kutumia utaalamu wa third party kwenye field ambayo huna capacity nayo
Work of an expert
Je wanawatumia kweli?

Tatizo siyo kwamba wanatakiwa kutumiwa tatizo ni social capital yetu. Na kupeana shavu hata kwa serious issues...
 
Unapinga wakati hujui,mbuzi kweli wewe.CAG office ina kila fani,umewahi kusikia kitu inaitwa technical audit? Wanafanya wenye fani husika plus uhasibu
 
CAG alisema ndege zikihaibika hazitengenezeki, sijamuelewa. Alieelewa anieleweshe namie. Kwani hakuna Spea za Boeing na bombardier?
Ndio utoe jibu wewe maana bil.3.9 imetumika kutengeneza ndege ambayo bado iko gereji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…