Napinga hoja ya RC Makalla ya kulazimisha Mabasi yote ya Mikoani kupakia na kushusha abiria Stendi ya Magufuli pekee

Hii kali sana.
 
Wajenge stendi zaidi ya moja... UKIZINGATIA kutoka nje ya Dar kuna kuna njia kubwa 3 tu..!! Kila road, Morogoro road na Bagamoyo road...
 
Usisahau huko wanakokubali Luna mashoga pia..!! Si kila kifanywacho huko kwingine lazima kifanywe huku kwetu
 
Wajenge stendi zaidi ya moja... UKIZINGATIA kutoka nje ya Dar kuna kuna njia kubwa 3 tu..!! Kila road, Morogoro road na Bagamoyo road...
kwa Hatua ya sasa hatukuwa na shida sana na stendi mpya kila mahali , ombi letu lilikuwa ni kuacha Magari yatumie yard zake hata kama ni lazima yapite kwenye stendi ya Mbezi , tusiseme wapakie na kushusha mbezi tu
 
Mkuu umepiga kwenye mshono Mimi bado nasimama na PR Asad alisema viongozi wengi nchi hii ni wajinga sana
 
Mkuu umemaliza kazi siongezi neno hata moja
 
Mia mia
 
Daudi Mchambuzi said:
CAG alivyosema kuwa hiyo stand kuwepo eneo hilo ni hasara tupu, mataga pori walimshambulia kwa maneno ya kejeli sasa leo kibuyu kimeitika

Na bado mengi yaja kuumbuka hakutaisha
 
Hatua nyingi za viongozi wa umma si kufanya maisha ya watu kuwa marahisi, ila ni kuongeza ugumu tu.
 
Hatua nyingi za viongozi wa umma si kufanya maisha ya watu kuwa marahisi, ila ni kuongeza ugumu tu.
Hiyo yote ni kutaka kustawisha miradi yao kupitia watu masikini, na mbaya zaidi makosa hayo watayarekebisha 2025 ili waonekane wametatua tatizo ambalo walilitengeneza wao wenyewe kwa makusudi
 
Hiyo yote ni kutaka kustawisha miradi yao kupitia watu masikini, na mbaya zaidi makosa hayo watayarekebisha 2025 ili waonekane wametatua tatizo ambalo walilitengeneza wao wenyewe kwa makusudi
Very sad aisee!
 
ah
 
Wajenge stendi zaidi ya moja... UKIZINGATIA kutoka nje ya Dar kuna kuna njia kubwa 3 tu..!! Kila road, Morogoro road na Bagamoyo road...
Hilo nipendekezo moja; lakini bado watakuwepo wasafiri toka mbali na vituo hivyo watakavyovitumia, hata kama watakuwa ni wachache.

Kituo kimoja kiwe Tandika, kuna wasafiri watakaokitumia wakitokea Bunju; hali ni hivyo hivyo na vituo vingine vitakavyojengwa kwingine.
 
Umenena ukweli wa zaidi ya asilimia [emoji817] Congratulations! Yaani mtu anaenda Dar es Salaam anashushwa Mbezi Majanga. Mifumo ya kizamani sana! Halafu hapo Mbezi aanze tena safari nyingine! Ya mambo ya mapato yanatuharibia mambo.
 
Inaendelea kuwa kali zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…