Napinga kabisa dhana ya "Mume ni Provider" katika ndoa

Umeandika mke wako akiwa na hela hauhesabu Sana Kama za familia,

Maana yake unazihesabu kidogo!
[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sinaga tabia ya kuomba, kwanza sipendi kabisaa na naichukia hiyo tabia..!!
Kuna namna najiona vipi sijui!! Mpaka naomba basi ujue nimejikanyaga mpk basi.
basi huna tofauti na ombaomba ila mbinu tofauti πŸ˜ŽπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
yani ujikanyage mwsho uombe sasa unapanik nini apo wiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ relaaaaax
Unanichosha bana, nimekwambia km ikitokea ila sinaga utaratibu huo.
 
Naomba nikushauri kijana; ni vyema ukajiunga na kundi la kataa ndoa. You are too dumb and soft to be somebody's husband and a responsible head of the family.
 
Leo ndio nasikia kutoka kwako kuwa kuzaa ni 50% ya majukumu ya familia, inashangaza!!

Kwanza picha inaanza kwa mume kumpiga miti mke,

Uja uzito tangu umeanza hadi miezi sita ni hakuna uchungu

Uchungu wa uja uzito unaanza labda miezi Saba Hadi tisa na siku yenyewe ya labour!
Hio ni miezi mitatu ya uchungu wa kuzaa

Mtoto akizaliwa Kuna jukumu la kulea mtoto, hapa baba anashiriki. Kubeba mtoto, kumuogesha, kumvisha, kucheza nae kwenye kochi, kumpeleka hospitali n.k

Uchungu wa miezi mitatu wa kuzaa haiwezi kuthaminishwa na uchungu wa kutunza maisha ya watu wa familia kwa miaka 30

Mwanamke mwenyewe ukimwambia achague kukaa pekeyake miaka 30 bila kupewa uchungu wa kuzaa, au kukaa na mume ampe uchungu wa kuzaa atachagua Nini?

Kumbuka Eva alizaa kwa uchungu Kisha akaendelea na kazi za shamba ili kutunza familia yao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Najaribu kujiuliza hii dhana wanaitoa wapi? Ni taasisi gani imefundisha hivi? Au ni ubunifu katika fikra zao?

wewe hii dhana umetoa wapi mkuu?

maandiko yanatuambia mwanamke atazaa kwa uchugu na mwanaume atakula kwa jasho lake.
maana yake mwanaume kazi yako ni kupambana na kuhakikisha familia ina kula vzr na kuishi vizuri.

maandiko yanatumbia mwaanaume ni kichwa cha familia{mke wake}
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…