Pre GE2025 Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbaya zaidi wananchi wako kimya, wako bize na simba na yanga na siasa, such things kwa watu wanao jielewa wangesha firce serikal ifanye kitu
 
Vitu vingne viache vikupite mkuu utahangaika mpaka lini, au na ww hujielewi🤣
Masikini waliojaribu kutuloga kama unavyofanya wewe ni wengi sana lakini wamepotea wao sisi tupo
 
Akuloge Nani unajiloga ww mwenyewe kwa kutolea povu vitu visivyokuhusu, sku nyngne tulia tu yakupte kamanda
Ungetulia wewe,Hukuitwa huku kwa uzi wa jamaa.Kama unaungana na rais kusema kutekwa kwa Watu ni Drama,Yule wa Tanga alipotea 29 days ndugu zake wanamtafuta vituo vyote hayupo. Polisi wanakuja kujibu baada ya siku 29 kuwa tunae.

Vipi kuhusu Sativa ambae hata matibabu Rais kamlipia. Je alitokaje Dar mpaka Manyara? Alijiteka akajipiga ns kujiumiza vile?

Hebu acha utahira wako
 
Ndugu,tukumbuke huu msemo wa mtu kujiteka mwenyewe,uliletwa na polisi,...kama walivyomzushia Hamza ugaidi baada ya kumuua pale salender, na matukio mengine yanayo fanana na hayo,tutambue kuwa polisi wanaweza kufanya/kuzusha chochote ilimradi wafiche uovu wao pamoja na kuwafurahisha mabwana zao.Hivyo tusishangae, hata hii dhana ya mtu kujiteka wenyewe,nayo ikawa ni uzushi pia.Hii taasisi haiamiki.
 
Nanyi kweli mnakosa kazi kiasi cha kuweza msikiliza samia akiongea? Mna uvumilivu sana.
 
Sativa ndo nani
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-20-14-00-47-1.png
    552.5 KB · Views: 4
  • VID-20240723-WA0032.mp4
    20.1 MB
The weird and extreme abduction has been taking place throughout Tanzania,and meantime the President recently cited that, there's no such a thing other than Drama,well, take a look at this Drama.👇

 
Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana
 
Huko kwa akina Chaula majambazi na majangili wanataka wapewe milioni 3....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…