Pre GE2025 Napinga kauli za Rais Samia kwamba Uchaguzi wa Serikali za mitaa ulikuwa wa Utulivu na Amani

Pre GE2025 Napinga kauli za Rais Samia kwamba Uchaguzi wa Serikali za mitaa ulikuwa wa Utulivu na Amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata kama wanasema Mkubwa hakosei na wala hapingwi, lakini ni lazima ifahahamike kwamba Mungu amekataza Wanadamu kushiriki dhambi ya uongo.

Na kwa vile Mimi namuogopa Mungu kuliko wanadamu nakataa uongo huu wa wazi bila kujali aliyeutoa ni nani.

Hivi Uchaguzi ule ambao Wagombea wa Chadema wameenguliwa, wametekwa na kuuawa unawezaje kusema ulikuwa Uchaguzi wa Haki?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Wajinga, lakini siamini kwamba ni Wajinga kwa kiwango cha kudanganywa kijinga namna hii, Vinginevyo anayetaka kuaminisha watu kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kiwango hiki basi labda Ameamua kuwadharau kwa vile yeye ana vyeo vya bure.

Hivi kweli kuna Mwananchi mwenye akili timamu anaweza kuelewa akiambiwa uchaguzi ule ulikuwa huru na haki?

View attachment 3189602


Pia soma
- Salamu za Mwaka Mpya za Rais Samia kwa Watanzania
Huyu mama kumbe naye bure kabisa, bure bure bure
 
ushahidi wa hiki unachokisema uweke hapa
Msikilize baada ya kuombwa kugombea tena uenyekiti

Masaa mawili alijikita zaidi kuelezea faida za maridhiano , kwa muktadha huo mwenyekiti mwenza kaja na majawabu sahihi ya nini faida ya maridhiano
 
Msikilize baada ya kuombwa kugombea tena uenyekiti

Masaa mawili alijikita zaidi kuelezea faida za maridhiano , kwa muktadha huo mwenyekiti mwenza kaja na majawabu sahihi ya nini faida ya maridhiano
Hii ilikuwa ni early Process ya maridhiano, maridhiano kama yako yamefanikiwa kiasi kidogo..... mambo makubwa mawili bado.. Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi....
1. Samia angeliweza kushupaza shingo kuwa hakuna mikutano ya kisiasa, hakuna "akina Lisu kurudi nchini, wangelimfanya nini?
Ila nakubali kuwa hakuna kumshukuru Samia kwa hayo maana ilikuwa ni haki iliyoporwa ku dictator
 
Mpinge kwa Sultan Freeman, mgombea aliyetoa 250 million shilings kufadhili uchaguzi ndani ya chama.
Lakini vilevile, mwenyekiti wako anasema faida mojawapo ya maridhiano ni kuwepo kwa uchaguzi huru na haki. Sasa wewe nyumbu unamchallenge Mh. Rais badala ya kuanzia kwa Sultan wako.
 
Hata kama wanasema Mkubwa hakosei na wala hapingwi, lakini ni lazima ifahahamike kwamba Mungu amekataza Wanadamu kushiriki dhambi ya uongo.

Na kwa vile Mimi namuogopa Mungu kuliko wanadamu nakataa uongo huu wa wazi bila kujali aliyeutoa ni nani.

Hivi Uchaguzi ule ambao Wagombea wa Chadema wameenguliwa, wametekwa na kuuawa unawezaje kusema ulikuwa Uchaguzi wa Haki?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Wajinga, lakini siamini kwamba ni Wajinga kwa kiwango cha kudanganywa kijinga namna hii, Vinginevyo anayetaka kuaminisha watu kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kiwango hiki basi labda Ameamua kuwadharau kwa vile yeye ana vyeo vya bure.

Hivi kweli kuna Mwananchi mwenye akili timamu anaweza kuelewa akiambiwa uchaguzi ule ulikuwa huru na haki?

View attachment 3189602


Pia soma
- Salamu za Mwaka Mpya za Rais Samia kwa Watanzania
Unambishia Wenje?
 
Hii ilikuwa ni early Process ya maridhiano, maridhiano kama yako yamefanikiwa kiasi kidogo..... mambo makubwa mawili bado.. Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi....
1. Samia angeliweza kushupaza shingo kuwa hakuna mikutano ya kisiasa, hakuna "akina Lisu kurudi nchini, wangelimfanya nini?
Ila nakubali kuwa hakuna kumshukuru Samia kwa hayo maana ilikuwa ni haki iliyoporwa ku dictator
Kamwe Samia asingelishupaza shingo maana ndio alikuwa anaingia ikulu achilia mbali yeye alivyokuwa anatamani Tanzania iwe tofauti na mtangulizi wake

Na ndio maana waliokuwa wameonewa na kudhulumiwa haki zao hakuna walichokipata kwenye hayo maridhiano

Zaidi Samia na CCM yake ndio walipata faida zaida . Matembezi ya CDM yalikuwa na faida gani nchi nzima kama sio kuionyesha Dunia TANZANIA ni nchi ya kidemokrasia
 
Back
Top Bottom