Napinga kutumbuliwa kwa Mrisho Gambo

Napinga kutumbuliwa kwa Mrisho Gambo

Unapinga nini wewe! Mwenye mamlaka ya kuteua ndio anamamlaka ya kukutengua,wewe unapinga nini au ulikua mnufaika wa ukuu wa Mkoa wake mrija umekatwa eeh. The president has just exercise his power legally. Any way pole
Continuesly! Tengu tengua
 
Kwa hiyo unataka kumbishia yesu wa Lugola.
 
Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.

Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?

Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.

Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.

Haya maamuzi sio sahihi.

Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
Bado DAB
Yule wa Mbeya
Na wa Iringa


Halafu nchi itastarehe.
 
Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.

Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?

Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.

Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.

Haya maamuzi sio sahihi.

Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
Waache waione NGONDOIGWA!!
 
Tusipotezeane muda Mkuu wa Mkoa, wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri yamewakuta kwa Kushindwa Kumfanya Mtu fulani awe Udongoni.
 
KIBARUA KIMENUKA
Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.

Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?

Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.

Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.

Haya maamuzi sio sahihi.

Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
ZILE BIA ZA BURE AMPATI TENAAA... LOH
 
Mkuu wa mkoa ndiye aliyetakiwa kuwaadhibu hao wakurugenzei waliokuwa hawamtii kwa kutumia njia mbalimbali alizonazo; kwa kushindwa kufanya hivyo, wote wamefeli leadership test.
Pia nahisi kuna tabia Kwa baadhi ya wakuu wa mikoa kujiona Rank moja na mawaziri kisa tuu wanaendeshwa na magari yanayofanana na payslips zao zinashabiana(according to one of the RCs). But wanasahau kwamba Waziri wa TAMISEMI (ambaye ni Jaffo Kwa SASA) ndie Boss wao.. Nahisi Walichukulia ushauri au maonyo yake kirahisi mno( Walimpuuza). Having the same appointing authority does not make you equal.
 
I have not been a fan of any political party leave alone my power of choice. However, The expulsion of Gambo has left me with some griefs. I really don't know exactly what has led the mkuu to such an astonishing decision, but there is one thing I know for sure" Gambo was jembe and hard-working person. I personally will miss him. He is so humane, intelligent, and hard working as I have narrated early on. I will completely miss his presence in Leadership. If I would have known the magnitude of the mistakes He made, I would have beseeched mercy from the appointing authority as per his restoration. May the Mkuu relent and pardon Him.
 
Mleta mada atakuwa na maslahi mapaja na bwana gambo pengine ni mtu na shemeji yake
 
Uongozi Wa Arusha ulikuwa na mgogoro mkubwa sana na waislam wa arusha, baada ya kumega eneo la msikiti mkuu wa arusha, waislam walitaka kuleta fujo siku ya idd wakatulizwa na viongoz wao, huu mgogoro ndio umewaondoa mkurugexzi na mkuuwake, wala sio maugomz yao
Nyinyi watu kila kitu mnahusisha na dini, kwanini hamfikirii nje ya box ?
 
Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.

Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?

Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.

Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.

Haya maamuzi sio sahihi.

Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
Masai hujui kuandika nenda ukagake arudi wee s mganga...CED NDO NINI ?
 
Jiwe kafanya vizuri sana, sasa tumebaki na kalio moja linaitwa Bashite, na lile kalio lililosema watu wasioenda msibani wafungwe, na tako jingine lile linalosema madereva wa Tanzania wasipimwe Kenya utadhani kawa rais wa Kenya. Akifukuza hao labda kura yangu atapata
Unaonekana familia yenu ina asiri ya uchawi ndomana una roho mbaya kwahy madeleva wetu wanavyokonolewa kwenye pua kwako raha hahah

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Unampinga rais! Hujui kama hili ni kosa la uhujumu uchumi na uhaini!!! kichwa
 
Labda tujiulize, tatizo ni Gambo na hao wengine au ni mgawanyo wa kazi na utitiri wa vyeo vinavyoingiliana? Nahisi serikali yetu bado ni kubwa mno.
 
Back
Top Bottom