Goliati mbishi
Senior Member
- Apr 2, 2020
- 127
- 115
Cheo Ni dhamana aisee kwa hiyo Hana chaie Tena ? Ndio maana nasema mi nitabaki mkulima siogopi kupinduliwa au kukatwa au kupugwa au kutumbuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaAliyetoa ndie ametwaa!!
Anae lala na mama yako ndie baba yako
Hizi ni kanuni za kawaida kabisa wala hazihitaji mjadala
Inawezekana piaGambo anawania ubunge,ili awe waziri au spika n.k
Acha ushabiki wa kidini, eneo sio la waislam, ni open space ambayo tangu utawala wa mwinyi, mkapa, kikwete wote walikataa kulitoa kwa msikiti, tatizo nyinyi wenzetu (baadhi, ila wengi) you have a very poor understanding ,Uongozi Wa Arusha ulikuwa na mgogoro mkubwa sana na waislam wa arusha, baada ya kumega eneo la msikiti mkuu wa arusha, waislam walitaka kuleta fujo siku ya idd wakatulizwa na viongoz wao, huu mgogoro ndio umewaondoa mkurugexzi na mkuuwake, wala sio maugomz yao
DEDMkurugenzi wa Halmashauri.
Wananchi wengi waliokwenda kumwona kutaka msaada watakuwa wamefurahi sana kutumbuliwa kwa kuwa hakuwa na msaada wowote Kama walivyo wateule wengi huko Mikoani na Wilayani. Alipanga kuwasikiliza wenye shida kila Jumanne na Alhamisi lakini zikawa ni siku za mateso na kujionyesha yeye ni nani huku watu wakirudi walikotoka na shida zao bila msaada wowote. Wengi, Mimi mmoja wao, wamefurahi sana kutenguliwa kwao ingawa hatua hiyo imechelewa sana na kuleta madhara makubwa. Yaliyokuwa yanatokea Arusha ndo yanatokea sehemu kubwa ya nchi yetu na siyo rahisi Rais kuyaona yote kwa muda mfupi.Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
DEDMkurugenzi wa Halmashauri anaitwa DEO?