Napinga Luka Modric kupewa BALLON D'OR

Napinga Luka Modric kupewa BALLON D'OR

Kama ndio hvy zidane asingepaswa kuwa na ballon dor 3 ..kwa vigezo hivyo zidane ilipaswa awe na ballon dor moja tu

Kingine midfielders sio strikers hivyo huwezi kutoa kigezo cha magoli tu kwenye ballon dor basi iitwe strikers ballon dor maana defenders na midfielders itakuwa hawajatendewa haki


Kingine Modric alikuwa na perfomance bora uefa champions league na world cup pia alikuwa exceptional mpk kila mtu alisuuzika moyo wake baada ya kupewa tuzo ya mchezaji bora wa dunia

Na la mwisho wanaopiga kura ni makocha na makapteni wa timu za taifa na waandishi wa habari za michezo na kwa pamoja wameona Modric ndiye aliyestahili

Nimefurahi kuona tuzo ikirudi kwa midfielder hii tuzo haijaumbiwa kwa masteikers tu ..hongera Luca modric
 
Hana vigezo vya kutwaa tuzo hiyo na wala hakuwahi kuwa navyo , ifike mahali dunia ya michezo isione aibu kuwapa tuzo wachezaji wanaostahili hata kama ni walewale kwa miaka 20 .

Usishindane na aliyejaaliwa .

Nakala kwa Michael Wambura , Makamu wa Rais wa TFF
Poa

Ukimaliza kupinga Rudi bongo.... Kuna nafasi za wazi za pinga-pinga

Wewe tu na muda wako
 
Hana vigezo vya kutwaa tuzo hiyo na wala hakuwahi kuwa navyo , ifike mahali dunia ya michezo isione aibu kuwapa tuzo wachezaji wanaostahili hata kama ni walewale kwa miaka 20 .

Usishindane na aliyejaaliwa .

Nakala kwa Michael Wambura , Makamu wa Rais wa TFF
Je, unaweza kunielewesha vigezo wanavyotumia kumpata mshindi?

Pia Kama Luca modric Hana vigezo, wewe unadhani ni Nani alikuwa na vigezo vya kumuwezesha kutwaa tuzo hio?
 
Kama ndio hvy zidane asingepaswa kuwa na ballon dor 3 ..kwa vigezo hivyo zidane ilipaswa awe na ballon dor moja tu

Kingine midfielders sio strikers hivyo huwezi kutoa kigezo cha magoli tu kwenye ballon dor basi iitwe strikers ballon dor maana defenders na midfielders itakuwa hawajatendewa haki


Kingine Modric alikuwa na perfomance bora uefa champions league na world cup pia alikuwa exceptional mpk kila mtu alisuuzika moyo wake baada ya kupewa tuzo ya mchezaji bora wa dunia

Na la mwisho wanaopiga kura ni makocha na makapteni wa timu za taifa na waandishi wa habari za michezo na kwa pamoja wameona Modric ndiye aliyestahili

Nimefurahi kuona tuzo ikirudi kwa midfielder hii tuzo haijaumbiwa kwa masteikers tu ..hongera Luca modric
Nadhani Mleta Hoja Sio Mtu wa Mtu WS Mpira
 
Wewe naona unamletea uchochezi Wambura baada ya kushinda kesi na kuahidi kukitifua tff leo wakati wao "watu wa mpira" hawamtaki.
 
ukweli mi sioni kama alifaa kushnda maana kama ni kuifikisha croatia final wc ata varane alifikisha france, kama ni kuisaidia madrid kuchukua UCL ata varane,ronaldo wameifikisha madrid ,sasa ukija kwenye perfomance ya mchezaj mmojammoja +magoli,asisst ndo utajua kama alibebwa tu kutaka kuhuondoa ufalme wa LM10 na CR7
sasa subil mwakani kama ata top 5 atakuwemo
 
Babu unazeeka vibaya. Huku kwetu hatuchezi mpira

Hata huyu??

1543912869035.png
 
ukweli mi sioni kama alifaa kushnda maana kama ni kuifikisha croatia final wc ata varane alifikisha france, kama ni kuisaidia madrid kuchukua UCL ata varane,ronaldo wameifikisha madrid ,sasa ukija kwenye perfomance ya mchezaj mmojammoja +magoli,asisst ndo utajua kama alibebwa tu kutaka kuhuondoa ufalme wa LM10 na CR7
sasa subil mwakani kama ata top 5 atakuwemo
Mbona alikuwa best player wa michuano ya world cup na Uefa?

Midfielders huwezi kushindanisha na strikers kwa magoli unafeli joh

Zidane alikuwa best player tena amechukua ballon dor 3 mionyeshe lini aliwahi kuchukua kiatu cha ufunguaji bora..ilikuwa inafikia hatua Zizzou alikuwa anafikisha magoli 4 tu kwa msimu

Xavi,iniesta walikuwa hatari lkn angalia goal scoring rate yao ilikuwa ndogo mno

Modric kama kiungo kazi yake tuliiona world cup na uefa

Hii tuzo haijatengenezwa kwaajili ya maforwad tu
 
Back
Top Bottom