Napinga Luka Modric kupewa BALLON D'OR

Napinga Luka Modric kupewa BALLON D'OR

Mbona alikuwa best player wa michuano ya world cup na Uefa?

Midfielders huwezi kushindanisha na strikers kwa magoli unafeli joh

Zidane alikuwa best player tena amechukua ballon dor 3 mionyeshe lini aliwahi kuchukua kiatu cha ufunguaji bora..ilikuwa inafikia hatua Zizzou alikuwa anafikisha magoli 4 tu kwa msimu

Xavi,iniesta walikuwa hatari lkn angalia goal scoring rate yao ilikuwa ndogo mno

Modric kama kiungo kazi yake tuliiona world cup na uefa

Hii tuzo haijatengenezwa kwaajili ya maforwad tu

well bro
 
Hana vigezo vya kutwaa tuzo hiyo na wala hakuwahi kuwa navyo , ifike mahali dunia ya michezo isione aibu kuwapa tuzo wachezaji wanaostahili hata kama ni walewale kwa miaka 20 .

Usishindane na aliyejaaliwa .

Nakala kwa Michael Wambura , Makamu wa Rais wa TFF
BORA ASIPATE C.RONALDO, MSHENZI ANA MISIFA YA KIFALA SANA😎😎😎😎
 
1543869447792.gif

BORA ASIPATE C.RONALDO, MSHENZI ANA MISIFA YA KIFALA SANA😎😎😎😎
 
Hizi tuzo kwangu niliziona hazina thamani, baada ya Wensley Sneijder, Xavi na Inesta kutochukua tuzo paka wanastafu japokuwa walistahili, ila kwa Modric naweza kusema haki imetendeka, Modric ana stahili. Tuache ule upuuzi wa kuamini mchezaji bora ni yule anayefunga tu.
 
ukweli mi sioni kama alifaa kushnda maana kama ni kuifikisha croatia final wc ata varane alifikisha france, kama ni kuisaidia madrid kuchukua UCL ata varane,ronaldo wameifikisha madrid ,sasa ukija kwenye perfomance ya mchezaj mmojammoja +magoli,asisst ndo utajua kama alibebwa tu kutaka kuhuondoa ufalme wa LM10 na CR7
sasa subil mwakani kama ata top 5 atakuwemo
Mkuu naona wengi mnaongozwa na ushabiki.... Hivi utalinganisha ubora wa kikosi cha France na Croatia... Tuwe wakweli tu Modric aliibeba timu nzima kwa mikono yake miwili tofauti na France ambapo hata Varane angekaa benchi kuna quality nyingi tu benchi zingeziba pengo ila croatia ilikuwa na kikosi kifupi sana cha world class players hivyo usilinganishe struggle ya Croatia na France hata siku moja.

Kingine magoli na Assist sio kazi ya Defending midfielder otherwise Balloon D'or iwe kwa ajili ya washambuliaji hivyo ukitaka kujudge midfielders angalia vitu kama Completed passes,interceptions,anticipations,Agility,Agressiveness,tackles won,Balls recovered,distance covered, Aerial duels vitu ambavyo huyo Ronaldo au Messi hawamkuti kabisa same case ukimlinganisha varane vs messi na ronaldo unaangalia mchango wake kwenye traits za defence sio eti Assist na magoli labda kama haufahamu soka mmekariri mchezaji bora ni striker.

Kwa hizo quality nilizoweka hapo unaweza niambia ipi ambayo messi na ronaldo wanamzidi modric??? Angalau moja tu kama hamna nipe sababu kwanini Modric asipewe Ballon D'or ilihali hakuna walichomzidi hao wengine.

Hii ni stats zake kabla ya final.... Alafu unamlinganisha na varane cjui messi kwenye mchango wao timu ya taifa???

skysports-luka-modric-croatia_4357654.jpg
 
Congratulation to the best midfielder in the World, Luca Modric for winning Ballon D'Or.
Wanaosema ana uwezo mdogo hawalifahamu kandanda kwa upeo.
 
ukweli mi sioni kama alifaa kushnda maana kama ni kuifikisha croatia final wc ata varane alifikisha france, kama ni kuisaidia madrid kuchukua UCL ata varane,ronaldo wameifikisha madrid ,sasa ukija kwenye perfomance ya mchezaj mmojammoja +magoli,asisst ndo utajua kama alibebwa tu kutaka kuhuondoa ufalme wa LM10 na CR7
sasa subil mwakani kama ata top 5 atakuwemo

Hivi ili ubebe timu lazima ufunge magoli na uassist? dah Generation ya technology kwenye ubora wake. Kwaiyo kipa hawezi beba timu? Beki au midfield?
 
Hana vigezo vya kutwaa tuzo hiyo na wala hakuwahi kuwa navyo , ifike mahali dunia ya michezo isione aibu kuwapa tuzo wachezaji wanaostahili hata kama ni walewale kwa miaka 20 .

Usishindane na aliyejaaliwa .

Nakala kwa Michael Wambura , Makamu wa Rais wa TFF

Hivi nyie vilaza wa wapi? Je pia mnapinga Luka kuwa mchezaji Bora ndani ya world cup? au pia mlitaka wapewe Messi na Ronaldo ?
 
Back
Top Bottom