Pre GE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

Pre GE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama.

Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai"
Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena.

Waachane kwa amani na Chadema kwa amani. Isiwe kwamba sharti lake la kupokelewa CCM ni kuitukana Chadema.

Hata Lowassa alihamia Chadema hatukumsikia anaikashifu CCM.

Pia soma
 
Kwa asilimia kubwa walioachana watatangazia ubaya c jambo la kushangaa sana ,ata cc ccm atushaingai
 
Muda ni dawa mzuri sana.... mabungo yatatemwa sana
 
Siasa za Tanzania hazina mvuto tena, mi nashangaa ambavyo watu wanakomaa na huyo Msigwa.
Hata kama Msigwa asingehama, CDM ilishajifia kitambo.
Kuitoa CCM madarakani ni maamuzi ya wananchi.
 
Msigwa hana impact, hata sababu zake za kuhama ni za kipuuzi!
 
Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama.

Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai"
Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena.

Waachane kwa amani na Chadema kwa amani. Isiwe kwamba sharti lake la kupokelewa CCM ni kuitukana Chadema.

Hata Lowassa alihamia Chadema hatukumsikia anaikashifu CCM.

Pia soma
Hofu yako ni nini? Chadema si ni chama kisafi sana kuliko CCM? Tena ni chama cha kidemokrasia maana yake kinaruhusu uhuru wa kujieleza. Sasa hofu yako hasa ni nini?
 
Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama.

Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai"
Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena.

Waachane kwa amani na Chadema kwa amani. Isiwe kwamba sharti lake la kupokelewa CCM ni kuitukana Chadema.

Hata Lowassa alihamia Chadema hatukumsikia anaikashifu CCM.

Pia soma
Msigwa amefyatuka amechizi
 
Msigwa hana impact, hata sababu zake za kuhama ni za kipuuzi!
Msigwa ameona chama kimekosa muelekeo chadema sio Ile tena ni kama kampuni ya mtu anajiamulia yeye anavyotaka kumbuka uchaguzi wa Kanda msigwa kahujumiwa sana pesa za mbowe zimetumika kumuangusha
 
Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama.

Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai"
Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena.

Waachane kwa amani na Chadema kwa amani. Isiwe kwamba sharti lake la kupokelewa CCM ni kuitukana Chadema.

Hata Lowassa alihamia Chadema hatukumsikia anaikashifu CCM.

Pia soma
kupinga au kuunga mkono chochote ni haki na uhuru wa mtu kikatiba na ndio demokrasia yenyewe hiyo,

so,
ni vizur kupunguza hasiri wengine wanapotumia haki zao za kikatiba, hakuna haja kupangiana cha kusema au cha kuamua 🐒
 
Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama.

Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai"
Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena.

Waachane kwa amani na Chadema kwa amani. Isiwe kwamba sharti lake la kupokelewa CCM ni kuitukana Chadema.

Hata Lowassa alihamia Chadema hatukumsikia anaikashifu CCM.

Pia soma
Chadema ameishindwa mwendakuzimu iwe huyo nzara tumbo mponza trako!!
 
Siasa ni kukosoana, alikosoa sana CCM akiwa mwana Chadema, sasa ni zamu ya yeye kueleza mapungufu ya Chadema maana ameyaona na kuyaishi.
 
Msigwa hana impact, hata sababu zake za kuhama ni za kipuuzi!
Watu walimstukia kitambo nae akastuka akapiga pesa za mama naniliu tukatia kambi iringa tukazitafuna kwa ufundi mkubwa tukambwaga chadema ipo salama kilometa milioni.
 
Kwa hiyo wewe ndiyo unataka umwamulie nini cha kusema na kufanya?
Dunia ni uwanja wa fujo, acha naye afanye fujo zake!
 
Mheshimiwa tayari keshafanya kashfa papa ya kupiga teke, kupeketeza (destroy) na kutelekeza chama chake.

Mengine yoote atakayofanya sasa na kuendelea ni marudio, vitoto na vitukuu tu vya kashfa papa.
 
Siasa za Tanzania hazina mvuto tena, mi nashangaa ambavyo watu wanakomaa na huyo Msigwa.
Hata kama Msigwa asingehama, CDM ilishajifia kitambo.
Kuitoa CCM madarakani ni maamuzi ya wananchi.
Mimi naona umesema vzr sn statement ya kwanza. Na ndo ukweli kuwa siasa za Tanzania hazina mouton tena na watu hawana time tena nazo ni basi tu wachache wanashiriki tena kwa njaa zao.Chadema haijafa,mbona ipo inafanya mambo yake!?Jambo la kujiuliza ni kwanini siasa zife kitu ambacho ni muhimu? Inashangaza na kusikitisha jamii kubwa kujali ujinga wa mpira tena wa simba na yanga na kuipa kisogo siasa inayoamua maisha you!
Huwa nawaza ni nini hatma ya Tanzania?
Ni nani aliyeua siasa?
 
Back
Top Bottom