Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Watakulaani wenzio
 
Huu uzi ufutwe sasa hauna maana tena ..
unafunga Leeds halafu unachapwa na Man city , chelsea , liverpool , man United , everton , tena goli tano tano halafu wategemea ubingwa ? utakuwa bwege sana kuamini timu hii
 
unafunga Leeds halafu unachapwa na Man city , chelsea , liverpool , man United , everton , tena goli tano tano halafu wategemea ubingwa ? utakuwa bwege sana kuamini timu hii
Hizo ni strategic management
Sawa anafungwa na Liverpool na kina city sasa ubora wa wachezaji wa liver, City utafananisha na wa kina saka arsenal?
Lakini bado mikel kabuni mbinu nyingine anapata points kwengine,sio lazima uchukulie points kwa hao wengine.

Mbona West Ham kapiga wakubwa wote ila kafungwa na arsenal? Na anafungwa na team unazoita ndogo mkuu?

Arteta anajitahidi atakuja kuwa kocha mkubwa.
 
WestHam aliwahi kuchukua ubingwa wa EPL mwaka gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…