Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #181
wewe utakuwa unalijua sokaArsenal ina wachezaji wa kawaida sana ni sawa tu na timu kama West Ham, Leicester City, Wolves nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe utakuwa unalijua sokaArsenal ina wachezaji wa kawaida sana ni sawa tu na timu kama West Ham, Leicester City, Wolves nk
Hata kwenye siasa mkiacha utekaji hamtuweziMkuu kwenye soka nakukubali sana,uliwahi mtabiria ole guna na kweli manu yakatukuta
ILA kwenye siasa ndio daaah!
Hahahahaaaa! mfano LISU na LEMA wamejikimbiza wenye si hatuna mpango nao.
CHADEMA KILA KITU NI KUPINGA ,NDIO MAANA JPM ALIKUWA ANAWATIA PISTO ZA MATAKONI, SHENZI KABISA NYIE
Watakulaani wenzioKumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .
Nakala imfikie Arsene Wenger .
Tumeamua kumpuuza tu.Watakulaani wenzio
unafunga Leeds halafu unachapwa na Man city , chelsea , liverpool , man United , everton , tena goli tano tano halafu wategemea ubingwa ? utakuwa bwege sana kuamini timu hiiHuu uzi ufutwe sasa hauna maana tena ..
Hizo ni strategic managementunafunga Leeds halafu unachapwa na Man city , chelsea , liverpool , man United , everton , tena goli tano tano halafu wategemea ubingwa ? utakuwa bwege sana kuamini timu hii
WestHam aliwahi kuchukua ubingwa wa EPL mwaka gani ?Hizo ni strategic management
Sawa anafungwa na Liverpool na kina city sasa ubora wa wachezaji wa liver, City utafananisha na wa kina saka arsenal?
Lakini bado mikel kabuni mbinu nyingine anapata points kwengine,sio lazima uchukulie points kwa hao wengine.
Mbona West Ham kapiga wakubwa wote ila kafungwa na arsenal? Na anafungwa na team unazoita ndogo mkuu?
Arteta anajitahidi atakuja kuwa kocha mkubwa.
Kweli bhana !Mikel Arteta numero uno
Mungu ibariki JFunafunga Leeds halafu unachapwa na Man city , chelsea , liverpool , man United , everton , tena goli tano tano halafu wategemea ubingwa ? utakuwa bwege sana kuamini timu hii
Mungu ibariki JF
nomaHatari sana!