Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #401
HayaMkund ukinjamba huanza kupea nyeti pole kwa harufu mbovu ya Mavi.
πππMwaka upi wanabeba carabao
Mwaka huu Carabao na FA vimeshampita kushoto. Anachoweza ni kukomalia epl pamoja na Champion league, hivyo vipo kwenye uwezo wake akivikomalia vizuri.πππ
Huku uswahilini tunasema hivi, Kama kibaba hakikujaa ndoo haiwezi kujaa, Yaani ushindwe carabao upate Champions league!Mwaka huu Carabao na FA vimeshampita kushoto. Anachoweza ni kukomalia epl pamoja na Champion league, hivyo vipo kwenye uwezo wake akivikomalia vizuri.
Tumerudi tena mkuuπ€£π€£π€£π€£ huu mzoga unafukuliwa kila msimu π€£
πππππNaskia kaongeza miaka mitatu tena
ππππHamna kocha hapa
Sijawahi kubahatishaMiaka saba mbele maneno yako yanatimia.
Umeanza na misifa yakoπ€£Sijawahi kubahatisha