Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #361
Hili lichunguzweKamsaidia mwalimu wake pep!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili lichunguzweKamsaidia mwalimu wake pep!
Who is foden by the way ? ondoa mashaka kuhusu uzoefu wangu kwenye soka , hakuna mchezaji wa kutisha ambaye ni mwingereza .Acha utani kina Foden wachezaji wa kawaida!?
Kina Mac Allister wachezaji wa kawaida!?
Kwa anayoyafanya Arteta na kwa experience ndogo alokua nayo ni kocha mzuri aisee.
Kama kweli mshabiki wa mpira utaliona hilo.
Aisee embu niishie hapa.Who is foden by the way ? ondoa mashaka kuhusu uzoefu wangu kwenye soka , hakuna mchezaji wa kutisha ambaye ni mwingereza .
Guardiola hata ukimpa Brentford kama ilivyo anabeba ndooAisee embu niishie hapa.
Aisee Guardiola ana uzoefu na ameshapitia timu nyingi sijui kama umelitizama hili.Guardiola hata ukimpa Brentford kama ilivyo anabeba ndoo
Ifuatilie Arsenal ilikotoka halafu angalia kama inaweza kuwa na kocha wa mafunzoAisee Guardiola ana uzoefu na ameshapitia timu nyingi sijui kama umelitizama hili.
Unachofanya wewe ni kumfananisha Clement mzize na Fiston Mayele.
Kwani Xavi Alonso ana uzoefu gani kwenye kazi ya ukocha?Ifuatilie Arsenal ilikotoka halafu angalia kama inaweza kuwa na kocha wa mafunzo
Aiseee!Ifuatilie Arsenal ilikotoka halafu angalia kama inaweza kuwa na kocha wa mafunzo
Steve Gerald alipewa Rangers ya Scotland na akatwaa ubingwa na kuzima ufalme wa Celtic , akaletwa England na kupewa Aston Villa , kilichotokea bila shaka unakijua , ligi ya Uingereza ni tofauti mno , ndio maana haiuzwi kwa bei rahisiKwani Xavi Alonso ana uzoefu gani kwenye kazi ya ukocha?
AsanteAiseee!
Mkuu uwe na wakati mwema.
ukitoa kipind cha Wenger ni kipindi gan kingine mliwai kuwa na matokeo mazur hv ?Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka, Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji, wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika, lakini si Arteta.
Nakala imfikie Arsene Wenger.
2024 lete mrejeshoKwa jinsi viongozi wa arsenal walivyo usishangae wakampa timu, ila wategemee maumivu atachemsha kuliko moyes alivyopewa man baada ya sir Alex kuondoka
kwa upeo wako mdg uliamin Arsenal ni Ozil na Ozil ni ArsenalIvi kwa mfano ARTETA atampa kitukipya gani OZIL,au kudanganyana tu..Akija kuwa kocha msaidizi sawa ila siyo kocha mkuu.
2024 rudi utupe mrejeshoArteta akamfundishe Ramsey, Ozil na Wilshere wakati alikuwa anawekwa benchi na hawa mafundi.
sijawahi kuwa Arsenal siwezi kujibuukitoa kipind cha Wenger ni kipindi gan kingine mliwai kuwa na matokeo mazur hv ?
Haya sasaKumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka, Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji, wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika, lakini si Arteta.
Nakala imfikie Arsene Wenger.
Tafadhari msiniite NabiiHaya sasa
Shabiki maandazi
In voyeur you trust
Kamwe huwezi kuwaTafadhari msiniite Nabii