Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Acha utani kina Foden wachezaji wa kawaida!?
Kina Mac Allister wachezaji wa kawaida!?
Kwa anayoyafanya Arteta na kwa experience ndogo alokua nayo ni kocha mzuri aisee.
Kama kweli mshabiki wa mpira utaliona hilo.
Who is foden by the way ? ondoa mashaka kuhusu uzoefu wangu kwenye soka , hakuna mchezaji wa kutisha ambaye ni mwingereza .
 
Guardiola hata ukimpa Brentford kama ilivyo anabeba ndoo
Aisee Guardiola ana uzoefu na ameshapitia timu nyingi sijui kama umelitizama hili.
Unachofanya wewe ni kumfananisha Clement mzize na Fiston Mayele.
 
Aisee Guardiola ana uzoefu na ameshapitia timu nyingi sijui kama umelitizama hili.
Unachofanya wewe ni kumfananisha Clement mzize na Fiston Mayele.
Ifuatilie Arsenal ilikotoka halafu angalia kama inaweza kuwa na kocha wa mafunzo
 
Kwani Xavi Alonso ana uzoefu gani kwenye kazi ya ukocha?
Steve Gerald alipewa Rangers ya Scotland na akatwaa ubingwa na kuzima ufalme wa Celtic , akaletwa England na kupewa Aston Villa , kilichotokea bila shaka unakijua , ligi ya Uingereza ni tofauti mno , ndio maana haiuzwi kwa bei rahisi
 
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka, Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji, wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika, lakini si Arteta.

Nakala imfikie Arsene Wenger.
ukitoa kipind cha Wenger ni kipindi gan kingine mliwai kuwa na matokeo mazur hv ?
 
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka, Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji, wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika, lakini si Arteta.

Nakala imfikie Arsene Wenger.
Haya sasa

Shabiki maandazi

In voyeur you trust
 
Back
Top Bottom