Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Arteta ana vitoto cheichei vilivyofeli city, Madrid, na vitita vya academy pamoja na a few kid level stars

Wenger had a team to be feared, invisible, a team of captains etc

Mpeni muda arteta

Hata fergie alikua na delayed milestones

Mwakani mnabeba carabao
 
Arteta ana vitoto cheichei vilivyofeli city, Madrid, na vitita vya academy pamoja na a few kid level stars

Wenger had a team to be feared, invisible, a team of captains etc

Mpeni muda arteta

Hata fergie alikua na delayed milestones

Mwakani mnabeba carabao
Hahahaha kwamba mwakani gunnerz anabeba carabao... mkuu kumbuka kuna watu kama rice na havert wamenunuliwa kwa bei mbaya
 
Arteta ana vitoto cheichei vilivyofeli city, Madrid, na vitita vya academy pamoja na a few kid level stars

Wenger had a team to be feared, invisible, a team of captains etc

Mpeni muda arteta

Hata fergie alikua na delayed milestones

Mwakani mnabeba carabao
carabao tena! ndo kikombe ambacho akibeba eti ndo tuamini ni bonge la kocha
ila mwamba amejitahidi sana ase
 
Who is foden by the way ? ondoa mashaka kuhusu uzoefu wangu kwenye soka , hakuna mchezaji wa kutisha ambaye ni mwingereza .
Kuna jamaa anaitwa alan shearer ni vile tu alikua loyal na newcastle yake ila kwa wakati ule angeamua kwenda real madrid au ac milan kusaka mataji angeandikwa kwenye vitabu vya historia kama mmoja wa wachezaji wakubwa hata kane yupo vzr tatizo alichelewa kuondoka totenham
 
Kwani si tumekubaliana kwamba arsanal ndo bingwa au?
IMG_20240418_010001.jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Arteta ana vitoto cheichei vilivyofeli city, Madrid, na vitita vya academy pamoja na a few kid level stars

Wenger had a team to be feared, invisible, a team of captains etc

Mpeni muda arteta

Hata fergie alikua na delayed milestones

Mwakani mnabeba carabao
Huo muda ni miaka mingapi ?
 
Kuna jamaa anaitwa alan shearer ni vile tu alikua loyal na newcastle yake ila kwa wakati ule angeamua kwenda real madrid au ac milan kusaka mataji angeandikwa kwenye vitabu vya historia kama mmoja wa wachezaji wakubwa hata kane yupo vzr tatizo alichelewa kuondoka totenham
Alifanya uzembe sana. Kane ana chance ya UCL trophy.
 
Haya hapa ni maelezo ya Shabiki wa Arsenal ambaye ameunga mkono maoni yangu juu ya uwezo wa Arteta

Screenshot_2024-04-18-13-13-10-1.png
 
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka, Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji, wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika, lakini si Arteta.

Nakala imfikie Arsene Wenger.
Livelong mdau
 
Wenger kaipatia makombe mangapi Arsenal!?
Pia ukumbuke Arsenal inapambana na rivals ambao ni elite kama Mancity na Liverpool.
Yeye kuwa top 4 na kushiriki Uefa ni hatua na matumaini makubwa.
Wenga miaka yote ile kaipa aseno ubingwa mara mbili tu

Yeye na ateta hawana tofauti 😁😁😁😁
 
Arteta ana vitoto cheichei vilivyofeli city, Madrid, na vitita vya academy pamoja na a few kid level stars

Wenger had a team to be feared, invisible, a team of captains etc

Mpeni muda arteta

Hata fergie alikua na delayed milestones

Mwakani mnabeba carabao
Mwaka upi wanabeba carabao
 
Back
Top Bottom