Napinga Ramadhani Kailima kuteuliwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi, ni Kada wa CCM

Napinga Ramadhani Kailima kuteuliwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi, ni Kada wa CCM

Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
Hata Mbowe bado ni mwanachama wa CCM. Pia pinga Mbowe kuwa Mwenyekiti wa Saccos ya Chadema!
 
Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
Kamba huvutiwa upande wako, huwezi kuivuta upande usio wako, chukua kamba ujaribu, hata Mbowe na yeye ana wachaga wengi hapo makao makuu, kama yule Mwenezi, John Mrema
 
Shetani hajawahi kumshinda Mungu, hata tulivyopinga mambo ya Jiwe mlikuja na kejeli hizi hizi
Wakati umefika kuwauliza mabaka mabaka, hivi haya hayawahusu? Maumivu ya wajomba na shangazi zao wanaona ni mziki wa bongo Flava? Yaani hizo free ration za mchele na cooking oil zinawafanya wanajisahau kiasi cha kuona ukweli?
Jee hakuna wenye fikra na maamuzi ya vijana kama Thomas Sankara au Jerry Rawlings wa wakati ule kule West Africa?

Tunajua hata kwetu walikuwepo kina Hans Poppe, McGhee, Kamando, Lt Maganga, Col Msami, na wengineo. Lakini hawakuleta mabadiliko waliyokusudia ila early 80 walisababisha displin ya aina fulani.

Hatusemi wafanye coup bali na wao waonyeshe wanakwazika na yanayo endelea, hizi yes sir yes sir watakuta familia zao zimesha kwa kifafaduro na kipindupindu kwa umasikini.

Au siku hizi wamekwisha wanaojitafakari huko waliko?
 
Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
Kwenye maridhiano mnaridhiana nini ?
 
Wakati umefika kuwauliza mabaka mabaka, hivi haya hayawahusu? Maumivu ya wajomba na shangazi zao wanaona ni mziki wa bongo Flava? Yaani hizo free ration za mchele na cooking oil zinawafanya wanajisahau kiasi cha kuona ukweli?
Jee hakuna wenye fikra na maamuzi ya vijana kama Thomas Sankara au Jerry Rawlings wa wakati ule kule West Africa?
Tunajua hata kwetu walikuwepo kina Hans Poppe, McGhee, Kamando, Lt Maganga, Col Msami, na wengineo. Lakini hawakuleta mabadiliko waliyokusudia ila early 80 walisababisha displin ya aina fulani.
Hatusemi wafanye coup bali na wao waonyeshe wanakwazika na yanayo endelea, hizi yes sir yes sir watakuta familia zao zimesha kwa kifafaduro na kipindupindu kwa umasikini.
Au siku hizi wamekwisha wanaojitafakari huko waliko?
Usiwapangie
 
Back
Top Bottom