Napinga Ramadhani Kailima kuteuliwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi, ni Kada wa CCM

Napinga Ramadhani Kailima kuteuliwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi, ni Kada wa CCM

Jaribu kutumia ubongo wako. Hakuna kati ya hao anayeteuliwa na mwenyekiti wa ccm.

Onyesha barua moja ya uteuzi wa hao kama ipo iliyosainiwa na mwenyekiti wa ccm.
Mkuu hivi macho yako unatumia kwa kuangalia mpira tu basi au? Huoni vingine?
Halafu unamwambia mwingine atumie ubongo wake wakati wewe ubongo wako uko likizo?mbona hata wewe hujatumia ubongo wako?
Kwani Rais si ndie m/kiti wa CCM Taifa? na ndie tunaona huteua makada wa CCM tu kwenye kazi za serikali na Sasa ameweka KADA wa CCM hata kwenye tume ya uchaguzi, ambalo ni kosa Kisheria , mbona photo ya huyo Bw Ramadhani inasoma ni mwana CCM? Sasa atawezaje kutenda haki kuwapa ushindi chadema wakishinda?

Mkuu call a spade a spade hiyo ya Bw Ramadhani imebuma . M/kiti wa tume ya uchaguzi anapaswa kuwa neutral person kama Mimi sio KADA nguli kabisa Wa uvccm Bw Ramadhani!!

Ukweli uko wazi Mkuu huyo Hana sifa ya kupewa hiyo kazi na kamwe haki haitotendeka kupitia yeye ni lazima atakuwa Biased na kuipamba CCM yake Bora ningepewa Hilo rungu Mimi ningeuma na kupuliza ila kwa huyo Bw Ramadhani picha yake na Madilu Bwanga bin Tozo imemuumbua hamna haki hapo kwa KADA papa nyangumi!!

Mama amejinasibu kuwa mtenda haki basi ni Bora ateue mtu mwingine asie mwanachama wa chama chochote Cha siasa kushika uwenyekiti wa tume ya uchaguzi!
 
Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .

Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
CHADEMA kumejaa Watu warongo warongo, wazushi na vil.aza!
Huyo aliye na Mwigulu siyo Kailima bali ni Dr.Ndashau aliyekuwa Head wa Department ya Economics University of Dar es Salaam.

Wakati huo Dr.Ndashau pia alikuwa Mwenyekiti wa Tawi la CCM Abiyani Chuo Kikuu Ubungo.
 
CHADEMA kumejaa Watu warongo warongo, wazushi na vil.aza!
Huyo aliye na Mwigulu siyo Kailima bali ni Dr.Ndashau aliyekuwa Head wa Department ya Economics University of Dar es Salaam.
Wakati huo Dr.Ndashau pia alikuwa Mwenyekiti wa Tawi la CCM Abiyani Chuo Kikuu Ubungo.
Lete picha na CV ya Kailima isiyo na usisiem
 
Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
Fundi cherahani aliteshona suruali(sarawili) ya Mwigulu ni kabila gani?
 
Kamba huvutiwa upande wako, huwezi kuivuta upande usio wako, chukua kamba ujaribu, hata Mbowe na yeye ana wachaga wengi hapo makao makuu, kama yule Mwenezi, John Mrema
Off point regarding the agenda infront
 
Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
Mnatamani watu wafe kama nyinyi mtaishi milele,subiri Rais atateua kutoka bavicha utafurahi
 
Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
Ni ufedhuli mtupu tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Mkuu hivi macho yako unatumia kwa kuangalia mpira tu basi au? Huoni vingine?
Halafu unamwambia mwingine atumie ubongo wake wakati wewe ubongo wako uko likizo?mbona hata wewe hujatumia ubongo wako?
Kwani Rais si ndie m/kiti wa CCM Taifa? na ndie tunaona huteua makada wa CCM tu kwenye kazi za serikali na Sasa ameweka KADA wa CCM hata kwenye tume ya uchaguzi, ambalo ni kosa Kisheria , mbona photo ya huyo Bw Ramadhani inasoma ni mwana CCM? Sasa atawezaje kutenda haki kuwapa ushindi chadema wakishinda?

Mkuu call a spade a spade hiyo ya Bw Ramadhani imebuma . M/kiti wa tume ya uchaguzi anapaswa kuwa neutral person kama Mimi sio KADA nguli kabisa Wa uvccm Bw Ramadhani!!

Ukweli uko wazi Mkuu huyo Hana sifa ya kupewa hiyo kazi na kamwe haki haitotendeka kupitia yeye ni lazima atakuwa Biased na kuipamba CCM yake Bora ningepewa Hilo rungu Mimi ningeuma na kupuliza ila kwa huyo Bw Ramadhani picha yake na Madilu Bwanga bin Tozo imemuumbua hamna haki hapo kwa KADA papa nyangumi!!

Mama amejinasibu kuwa mtenda haki basi ni Bora ateue mtu mwingine asie mwanachama wa chama chochote Cha siasa kushika uwenyekiti wa tume ya uchaguzi!
Narudia tena, tumieni bongo zenu ipasavyo.

Kama unamfahamu kiongozi yeyote wa serikali aliyeteuliwa kwenye wadhifa wake na mwenyekiti wa ccm, weka ushahidi hapa tuwahi kwenye mahakama ya katiba.
 
Kalima hafai hata kuwa msimamizi wa kituo cha kupigia kura.

Rais Samia, asifanye teuzi zimazoashiria kuwa anaandaa hadaa kwenye chaguzi zijazo. Lavda ni kweli, kuwa Raisamezungukwa na washauri waovu.
 
Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.

Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.

Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.

View attachment 2530740

Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?

Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?

Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
Ndugu uwe unaelewa, hata angeteuliwa ndugu Heche kuwa Mkurugenzi Tume ya Uchaguzi, Bado hawezi kutenda HAKI Kwa KATIBA iliyopo,

Tudai KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA,

Tukiipata hiyo, hata MAHELA akiteuliwa atafanya KAZI nzuri usoitegemea sababu mifumo itabadilika.
 
Ndio tunakoelekea mchana huu
Tusiache kujenga chama ground na kudai KATIBA mpya na kuhamia siasa za mahakamani.

Ndo muelewe,

Mamlaka Haina Nia na Katiba mpya, tuendelee kutafuta uungwaji mkono wa Watanzania kupitia mikutano,

Tusipoteze muda mahakamani.
 
Nchi yetu kama we siyo Yanga basi utakuwa Simba, yeyote yule atakayeteuliwa na kwa nature ya teuzi zetu lazima awe kada, kwasababu ni ngumu kwa utamaduni ulioota mizizi nchi hii,mteuliwa akawa ni Kada wa CHAUMA
 
Huenda ni moja ya vipengele vya maridhiano,kuwa Kailima lazima arudi kuwa mkurugenzi wa uchaguzi.
 
Back
Top Bottom