Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #121
Mwisho unakaribia sanaNchi yetu Ina mambo ya hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho unakaribia sanaNchi yetu Ina mambo ya hovyo sana
Bila katiba mpya hakuna tume huru ya uchaguzi na hakuna haki kwenye demokrasiaMwisho unakaribia sana
Vita yetu ni hiyoBila katiba mpya hakuna tume huru ya uchaguzi na hakuna haki kwenye demokrasia
Umenikumbusha wimbo nimepata kuusikia .... Teeeenda muujiza.....usiache siku ipite bila kutenda muujizaKurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.
Huyu ni miongoni mwa Makada wakubwa kabisa wa CCM wa tangu enzi na enzi.
Ushahidi huu hapa akiwa na Mwigulu enzi zao UVCCM.
View attachment 2530740
Wakati Kagulumujuli akihujumu uchaguzi wa Kinondoni na kusababisha mauaji ya Akwilina , Kailima alikuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na akanyamaza , Kailima alihusika na kukamatwa kwa Salum Mwalimu aliyekuwa Mgombea wa Chadema kwenye vituo vya kupigia kura Magomeni akishirikiana na RC wa DSM wakati huo Paulo Makonda , Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?
Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?
Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
HayaUlitarajia ateuliwe kada wa chadema?
Dai katiba wewe sio viposheni vyakazi
Swali zuriKwahiyo wewe ulimtaka nani?
Kwa taarifa yako, Watanzania wote waliopita JKT mpaka mwaka 1992, wote walikuwa CCM!.Kurejeshwa kwa Kailima kuwa Mkurugenzi wa NEC akichukua nafasi ya Dr. Mahera, ni sawa na kejeli na dharau kubwa sana kwa Watanzania, Jambo hili ni sawa na matusi ya nguoni kwa Watanzania.
Mtu kama huyu awezaje kuaminiwa na kurejeshwa tena Tume ya uchaguzi , kwa uteuzi huu Rais Samia ana malengo gani na Demokrasia ya Tanzania ?
Hata kama Watanzania ni Wajinga lakini si wajinga kwa kiwango ambacho mamlaka ya uteuzi inawaona , ni nani aliyesahau madudu ya Kailima hapo Tume ya Uchaguzi ?
Hakika kwa Uteuzi huu ninaamini Mungu hawezi kukubali na ATATENDA JAMBO , haliwezi kwisha hivi hivi tu .
Kwa taarifa yako, Watanzania wote waliopita JKT mpaka mwaka 1992, wote walikuwa CCM!.
Ramadhani Kailima ndie the best Mkurugenzi wa uchaguzi wapinzani zaidi ya 100 waliingia bungeni!. Hebu mshuhudie hapa
View: https://youtu.be/IY40h1ylhGg?si=J4iQfZI7hFMej6Gw
View: https://youtu.be/UuKX3zBuTsc?si=Sn2rPSq2QV7K5D4m
View: https://youtu.be/qo7NpVePtCg?si=P2x6PisHrEBTWzmk
P
Nitawalazimisha kunisikiliza , nguvu ya JF si ya Mchezo , kwa yanayoendelea sasa kwenye maoni ya Wadau , Kailima atakuwa kiongozi wa kwanza wa Tume ya Uchaguzi kujiuzuluHakuna atakae kusikiliza