Napinga Ramadhani Kailima kuteuliwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi, ni Kada wa CCM

Duh hiyo picha inanikumbusha statement ya Zitto kuwa tunaongozwa na Washamba.
 
Umenikumbusha wimbo nimepata kuusikia .... Teeeenda muujiza.....usiache siku ipite bila kutenda muujiza
 
Ulitarajia ateuliwe kada wa chadema?
Dai katiba wewe sio viposheni vyakazi
 
Lema si alisema huwa anaongea na Rais sasa si umwambie Lema amoigie Mama ili ambadilishe 😂😂😂😂😂
 
Huu uzi uingizwe kwenye maoni ya muswada wa sheria za uchaguzi kama sehemu ya maoni ya wadau
 
Kwa taarifa yako, Watanzania wote waliopita JKT mpaka mwaka 1992, wote walikuwa CCM!.
Ramadhani Kailima ndie the best Mkurugenzi wa uchaguzi wapinzani zaidi ya 100 waliingia bungeni!. Hebu mshuhudie hapa
View: https://youtu.be/IY40h1ylhGg?si=J4iQfZI7hFMej6Gw
View: https://youtu.be/UuKX3zBuTsc?si=Sn2rPSq2QV7K5D4m
View: https://youtu.be/qo7NpVePtCg?si=P2x6PisHrEBTWzmkP
 
Hakuna atakae kusikiliza
Nitawalazimisha kunisikiliza , nguvu ya JF si ya Mchezo , kwa yanayoendelea sasa kwenye maoni ya Wadau , Kailima atakuwa kiongozi wa kwanza wa Tume ya Uchaguzi kujiuzulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…