Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

JPM ndio rais bora kuwahi kutokea Tanzania.Tanzania bado inamlilia JPM, Zaid ya asilimia 70 ya Watanzania bado Wanatamani uwepo wa JPM . Tanzania ya JPM ilikuwa bora kwa miaka 50 mbele.
Nikiwa Rais mtalimia meno
 
Ulitaka iitwe Mbowe?

Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli.

Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.

Nadhani hizi ni chuki
Achana nae huyu Erythrocyte. Ni mpumbavu fulani humu JF Jukwaa la Siasa.
 
Jina la Magu ndio kusema,mtajua hamjui.Jina lake sasa ndio litaibeba ccm uchaguzi ujao.
 
akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi

Kweli kabisa, sisi raia tuliowaajiri viongozi hawa halafu baadaye wanapora mamlaka yetu sisi mabosi wao.

Ndiyo maana kuna mifano mingi ya viongozi baada ya kuteuliwa wanatumia vibaya kodi zetu wakidhani wao ndiyo mabosi.

Ni sawa na kumwajiri fundi akujengee nyumba halafu fundi akimaliza, anajiamulia aibatize nyumba yako jina lake nyumba yako !


Tayari viongozi tuliowachangua wanajimilikisha rasilimali za taifa, kwa kuzipiga mnada wakidhani ukiajiriwa na wananchi basi wamekabidhiwa mbuga za wanyama, mapori tengefu, migodi, bandari n.k kuwa vyao badala ya kuogopa kuwa ni mali za mabosi wao ambao ni sisi walipa kodi.
 
[/QUOTE]
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Andamana
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA

- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Naunga
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA

- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Naunga mkono hoja Yako kigoma ndiyo ya chura dar kifimbo mza jiwe Dom lissu walipomlenga
 
Stemdi ya mabasi, magufuli,.madaraja magufuli eeehh,.too much.

Hakuna wasomi mahiri, wanamuziki mahiri,
Kama huna chuki, mkosoe Samia kwanza aliyebuni kuwekwa hayo majina a Viongozi kwenye Stesheni Sgr.
 
Siku watu wakijua kua tulipata hasara kubwa sana kumpoteza huyu mtu itakua too late

Maendeleo hayaletwi kwa kubembelezana, hata kwako kwenye familia usipokua imara na mwenye msimamo familia ya watu watano itakushinda, achilia mbali watu milioni 60, imagine baba unarudi nyumbani Kila mtu anataka demokrasia, mke anataka kula hiki, mtoto hiki, dada wa kazi hiki, inafika mahali baba ukiamua Leo ni wali mboga mboga period hakuna mjadala

Stallin aliua watu mamilioni na mamilioni ili waanze safari upya kwenda kwenye maendeleo, hakuna nchi wamepata maendeleo the easy way, huko us red indians wameuliwa sana

Mwisho ya yote hapo china, mao mnyama alikua hajui kubembeleza, ni kupiga kazi mwanzo mwisho ukizubaa unakufa, ndo alileta nidhamu ya kazi china huko mpaka Leo

Huku vijana wapo busy na kubet, uchawa, ushoga na kulia Lia In the name of democracy

Magu alitakiwa akaze zaidi ya pale, na Kuna virusi angetakiwa aviondoe atleast Leo tungekua somewhere, watu walikua busy kuponda miradi yake Leo hii ndo wakwanza kuizindua, watu wa dar kueni na aibu, nilishatelekeza gari service road ya ubungo kuwahi mtihani chuo, foleni ilikua sio poa kipindi Iko

Amekosea ya kwake, ila let's call a spade a spade, the guy did a lot in his term!!!
Umemaliza, maendeleo hayaji kwa kubembelezena
 
Pinga pinga Fc lopolopo Fc mwambie Mbowe ajenge Choo machame tuite choo cha Mbowe la sivyo jinyonge ianimeitwa na huna la kufanya kwa mlimpinga Magufuli kuhusu ujenzi wa SGR ya Majina hayawahusu
Yani wewe ni MJINGA KABISA....NARUDIA
WEWE NI MJINGA.
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Wanakud1nya wachawi chuki zako Kwa magufuli hazikusaidii ye ndiyo mjenzi wa hii project
 
Mimi ningeshauri tu serikali kwa nia ya kujenga, Majina ya viongozi ingeishia yu kwenye barabara lakini ziko fursa nyingi za kuongeza vipato kwenye mashirika haya. Hivi vituo na hata vile vya mwendokasi wangeviweka public kama kuna kampuni inataka kununua jina wangepewa na pesa nzuri tu ingelipwa maana kuwa na station kila siku sio chini ya watu alfu 4 wanapita kuna thamani kubwa. Mfano anakuja mtu anataka kununua jina station inaitwa Tigo Dodoma station. Kama Dubai zile Metro station zote majina yanalipiwa mamilioni ya pesa kwanini tusifanye hivi.
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Wewe ni mpumbavu
 
Siku watu wakijua kua tulipata hasara kubwa sana kumpoteza huyu mtu itakua too late

Maendeleo hayaletwi kwa kubembelezana, hata kwako kwenye familia usipokua imara na mwenye msimamo familia ya watu watano itakushinda, achilia mbali watu milioni 60, imagine baba unarudi nyumbani Kila mtu anataka demokrasia, mke anataka kula hiki, mtoto hiki, dada wa kazi hiki, inafika mahali baba ukiamua Leo ni wali mboga mboga period hakuna mjadala

Stallin aliua watu mamilioni na mamilioni ili waanze safari upya kwenda kwenye maendeleo, hakuna nchi wamepata maendeleo the easy way, huko us red indians wameuliwa sana

Mwisho ya yote hapo china, mao mnyama alikua hajui kubembeleza, ni kupiga kazi mwanzo mwisho ukizubaa unakufa, ndo alileta nidhamu ya kazi china huko mpaka Leo

Huku vijana wapo busy na kubet, uchawa, ushoga na kulia Lia In the name of democracy

Magu alitakiwa akaze zaidi ya pale, na Kuna virusi angetakiwa aviondoe atleast Leo tungekua somewhere, watu walikua busy kuponda miradi yake Leo hii ndo wakwanza kuizindua, watu wa dar kueni na aibu, nilishatelekeza gari service road ya ubungo kuwahi mtihani chuo, foleni ilikua sio poa kipindi Iko

Amekosea ya kwake, ila let's call a spade a spade, the guy did a lot in his term!!!
Hii comment kuna baadhi ya contents zimenifanya niheshimu ubora wa mtu hata kama ana mapungufu yake.

Kwa mara ya kwanza nasema Bravo Magufuli kuna pahala ulipatia japo ulikosea pia.
 
Back
Top Bottom