Polisi wanadai Hamza aliishi kisiri na amejifunza ugaidi kupitia kuangalia mitandao ya ISS na Al Qaeda, je wamejuaje?Nmemsikiliza wambura sijamuelewa kabisa,nadharia ni nyingi sana juu ya maisha ya hamza na wapi kajifunza ugaidi,uchunguzi urudiwe au ipewe mamlaka nyngine kuchunguza tukio hili.
