Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Uwezo wa Wambura kwenye kuchambua mambo ni mdogo sana.
Huyu bila shaka ni kati ya wale Askari wa enzi zile walioingia jeshini labda kwa kigezo cha kuwa na uwezo mkubwa wa kukimbia mbio ndefu. Kichwani zero kabisa.
Gaidi mfia dini? Nonsense.
Huyu bila shaka ni kati ya wale Askari wa enzi zile walioingia jeshini labda kwa kigezo cha kuwa na uwezo mkubwa wa kukimbia mbio ndefu. Kichwani zero kabisa.
Gaidi mfia dini? Nonsense.