Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Stupid! I can't argue with a fool, people might not distinguish between us!Ulijua idadi ya risasi alizotumia kwenye hizo SMG mbili kulinganisha na idadi ya risasi alizokuwa nazo? . Ukishaona mtu anabakia na matusi tu akilini basi jua akili ya kufikiria haipo. Foolish people are silly and senseless. They are overly optimistic regarding their own views and unable to see their own vulnarabilities. That is the state you are passing through. Pole sana.
another rubbishAcha ukilaza Hamza alikuwa cheo mjumbe mkutano mkuu wilaya ccm .. ww unashinda hapo lumumba kwenye viambaza kupiga vizinga kwa makada
Nimemsikiliza Wambura, hakika hatoshi kabisa katika nafasi yake!Uwezo wa Wambura kwenye kuchambua mambo ni mdogo sana.
Huyu bila shaka ni kati ya wale Askari wa enzi zile walioingia jeshini labda kwa kigezo cha kuwa na uwezo mkubwa wa kukimbia mbio ndefu. Kichwani zero kabisa.
Gaidi mfia dini? Nonsense.
Namba 1: Gaidi huwinda na target ambayo inawika. Osama angeweza kushambulia jengo lolote Marekani lakini alichagua Trade Tower na Pentagon pekee. Anashambulia panapowika ila naye awike.
Namba 4: Gaidi husaka target yake, hapotezi lengo. Osama alishambulia ubalozi nchini Kenya na Tanzania lakini akilenga ubalozi wa Mareakani pekee. Angeweza kushambulia balozi nyingine lakini akamua kushughulika na Marekani pekee.
Namba 5: Paragraph ya pili inaonyesha wewe tayari ni mfuasi wa Hamza.
Hivyo vigezo vinamthibitisha Hamza alikuwa gaidi.
Ukiwaua mapolisi ambao wanataka kukupora fedha na mali sio ugaidiHamza ni gaidi.
Kutokuua rais bado hakuondoi ugaidi wake.
Mbona wale wa kibiti waliua polisi kwani hawakua magaidi?
Kwa vyo vyote vile polisi ni watuhumiwa na wanatakiwa wanyooshe maelezo na siyo kumbambikia ugaidi Shujaa wetu Hamza!Swali fikirishi
Kinachonifikirisha sana kwanini ile video iliyorekodiwa toka kwenye daladala, jamaa anasikika kumtaja siro na vijana waake, wamemfanya nini? Kwanin asimtaje amiri jeshi mkuu au mkuu wa majeshi.. Ye ni askari tu, kuna jambo hapa kati.
Hakuwa gaidi!,full stopHawajasema kuwa ni gaidi. Wamesema alikuwa na viashiria vya ugaidi.
Kabla ya tukio lile lililosababisha mauti yake na askari kadhaa.
Alijirekodi video akiwa ameshika bastola huku akiimba nyimbo za uhamasishaji hasa zinazotumiwa na vikundi vya ugaidi.
Ni kweli anaweza kuwa hakuwa gaidi lakini alikuwa na viashiria vya ugaidi.
Na mwisho ni namna alivyofanya tukio lenyewe ,linafanana na ugaidi.
Tusitetee tu kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza kuwa aliwaua police ili awanyang'anye siraha na kutokomea nazo nakuweza kuzitumia kati ugaidi wake.Hamza hakuwa gaidi kwa sababu zifuatazo:
1. Hamza baada ya kuwatwanga risasi aliendelea kutamba barabarani na bunduki zake zikiwa zimejaa risasi bila ya kudhuru raia ye yote.
2. Mahali ambapo Hamza aliuawa kwa kupigwa risasi na polisi ilikuwa wazi sana kiasi kwamba polisi wenye ujuzi wangeweza kimkamata akiwa hai bila majeraha au kwa kujeruhiwa miguuni.
3. Kitendo cha askari kuendelea kumpiga risasi Hamza hata baada ya kuanguka chini na kuendelea kuipiga risasi maiti ya Hamza inaonyesha polisi wetu ama kukosa weledi wa kazi yao au kupoteza ushahidi kwa makusudi. Kwani polisi waligeuza maiti ya Hamza uwanja wa range wa kujifunzia shabaha.
4. Hamza angekuwa gaidi wa kidini kama DCI Wambura anavyodai angekuwa ameshambulia makanisa mengi na pia angekuwa ameua wakristu wengi sana. Aidha angekuwa ameshambulia misikiti na waislam wasio dhehebu lake.
5. Kwa muda wote ambao amekuwa kada wa CCM, wanachama wenzake na vyombo vya usalama vingekuwa vimeshamtambua. Kumbukeni uovu haujifichi kwa muda mrefu namna hii.
Ugaidi hauendeshwi na mtu mmoja hivyo kama Hamza angekuwa gaidi lazima angekuwa na wenzake ambao muda huu vyombo vya usalama vingekuwa vimewabaini na kuwatia mbaroni.
Nawashauri polisi wafanye kazi yao au waombe msaada wa uchunguzi kubaini ukweli. Katika suala hili polisi ni watuhumiwa hivyo hawana uhalali wa kujichunguza wenyewe na kutoa ukweli.
Polisi Wanatuona Watanzania ni Wa KUDANGANYWA kwa WAJINGAHamza hakuwa gaidi kwa sababu zifuatazo:
1. Hamza baada ya kuwatwanga risasi aliendelea kutamba barabarani na bunduki zake zikiwa zimejaa risasi bila ya kudhuru raia ye yote.
2. Mahali ambapo Hamza aliuawa kwa kupigwa risasi na polisi ilikuwa wazi sana kiasi kwamba polisi wenye ujuzi wangeweza kimkamata akiwa hai bila majeraha au kwa kujeruhiwa miguuni.
3. Kitendo cha askari kuendelea kumpiga risasi Hamza hata baada ya kuanguka chini na kuendelea kuipiga risasi maiti ya Hamza inaonyesha polisi wetu ama kukosa weledi wa kazi yao au kupoteza ushahidi kwa makusudi. Kwani polisi waligeuza maiti ya Hamza uwanja wa range wa kujifunzia shabaha.
4. Hamza angekuwa gaidi wa kidini kama DCI Wambura anavyodai angekuwa ameshambulia makanisa mengi na pia angekuwa ameua wakristu wengi sana. Aidha angekuwa ameshambulia misikiti na waislam wasio dhehebu lake.
5. Kwa muda wote ambao amekuwa kada wa CCM, wanachama wenzake na vyombo vya usalama vingekuwa vimeshamtambua. Kumbukeni uovu haujifichi kwa muda mrefu namna hii.
Ugaidi hauendeshwi na mtu mmoja hivyo kama Hamza angekuwa gaidi lazima angekuwa na wenzake ambao muda huu vyombo vya usalama vingekuwa vimewabaini na kuwatia mbaroni.
Nawashauri polisi wafanye kazi yao au waombe msaada wa uchunguzi kubaini ukweli. Katika suala hili polisi ni watuhumiwa hivyo hawana uhalali wa kujichunguza wenyewe na kutoa ukweli.
Hamza alikuwa na akili timamu lakini kwa maudhi aliyofanyiwa na polisi alitaka kuwaachia ujumbe kuwa hawezi kuvumilia unyanyasaji wao hata kama matokeo yake ni umauti kwake!Anaweza kuwa aliwaua police ili awanyang'anye siraha na kutokomea nazo nakuweza kuzitumia kati ugaidi wake.
🤣🤣🤣Mjumbe wa mkutano mkuu wilaya CCM ni GAIDI!
Naamini bado wengi sana ndani ya chama wamchunguze na ndugai ile video animcharaza mwanaccm mwezake bakora naona wazi kuna ugaidi mkubwa ataufanya badae.
Mkuu usicheke ndugai analaswa achunguzwe kama hamza ndio alikuwa mstaarabu kafanya.. ndugai atafanyaje !? Vyombo vya dola viendeahe uchunguzi wa kina
Ndiyo wakamfanya uwanja wa range kujifunzia shabaha?
Chakushangaza zaidi anasema eti Hamza alikuwa pia akiishi kwa Siri wakat tumeona taarifa ya habar wakazi wa chunya songwe wakimuelezea na kipango ya kujenga shule ya msingi inamaana serikali haikutambua hiloNmemsikiliza wambura sijamuelewa kabisa,nadharia ni nyingi sana juu ya maisha ya hamza na wapi kajifunza ugaidi,uchunguzi urudiwe au ipewe mamlaka nyngine kuchunguza tukio hili.
Mbowe ni mmoja wao. Polisi wameshasema Mbowe pia ni gaidi na washirika wakeAcha kutetea majambazi! Kamwe ugaidi si jeshi la mtu mmoja. Polisi wanapaswa kuonyesha washiriki wa Hamza vinginevyo polisi wetu ni majambazi tu!
Akili ya kitoto sana kufikiria hivi. Wewe umeshaudhiwa na wangapi, mbona hujawaua?Hamza alikuwa na akili timamu lakini kwa maudhi aliyofanyiwa na polisi alitaka kuwaachia ujumbe kuwa hawezi kuvumilia unyanyasaji wao hata kama matokeo yake ni umauti kwake!