Uchaguzi 2020 Napinga viongozi wa dini kukutana kwa lengo la kuelezea kinachoitwa mafanikio ya Rais Magufuli, hii ni kampeni na haikubaliki

Uchaguzi 2020 Napinga viongozi wa dini kukutana kwa lengo la kuelezea kinachoitwa mafanikio ya Rais Magufuli, hii ni kampeni na haikubaliki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!

Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.

Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?

Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.

1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Tafadhalini sana nyie ndugu zetu wakikristo, mara nyingi tumemijuza kuwa Bakwata sio taasisi ya waislamu, hiyo ni taasis ya serekali, na iliundwa na Nyerere na Mark Bomani, na hao munaowaita Mashehe hawana tofauti na Gwajima.

Anayeunga mkono juhudi aunge kama mwanachama wa chama, hai ni wanachama wenzetu ndani ya ccm.
 
Tafadhalini sana nyie ndugu zetu wakikristo, mara nyingi tumemijuza kuwa Bakwata sio taasisi ya waislamu, hiyo ni taasis ya serekali, na iliundwa na Nyerere na Mark Bomani, na hao munaowaita Mashehe hawana tofauti na Gwajima.

Anayeunga mkono juhudi aunge kama mwanachama wa chama, hai ni wanachama wenzetu ndani ya ccm.
Kwani Bagonza anasemaje
 
Back
Top Bottom