Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kuna viongozi wa dini au wajasiriamali wa dini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini wa akili na vipato unatutesa sana, badala ya kufanya kazi ya MUNGU wamegeuza dini ni biasharaNaona zinatumika nguvu nyingi sana kupamba hii awamu,yaani utadhani nchi inapaa angani kwa mafanikio kumbe kawaida tu.Nchi bado ina changamoto kibao wanakosa muda na akili zakuisaidia serikali hili iendelee kupambana nazo wao wamekali kusifu nakupamba.
Nimeipanda comment yako.Wavae na mashati ya kijani kabisaaa. Wavue kanzu zao
Utaafiki hivyo hivyo kama viongozi wa dini watakusanyika Kwa lengo la kuelezea mabaya ya serikali ya awamu ya 5?Mbona maaskofu wakikemea unakuwaga wa kwanza kuanzisha uzi humu kusifia.
Unataka mambo yanayokufurahisha tu ndo yatendeke. Tengeneza dunia yako!
Labda WANANCHI hawana macho,inabidi waelezwe kwa sauti.Haya mafanikio ya Rais hayaonekani kwa macho mpaka yanadiwe?
MmhLabda WANANCHI hawana macho,inabidi waelezwe kwa sauti.
Mbona maaskofu wakikemea unakuwaga wa kwanza kuanzisha uzi humu kusifia.
Unataka mambo yanayokufurahisha tu ndo yatendeke. Tengeneza dunia yako!
Uraia unakua na mashaka pale kauli yako ikitofautiana na ya Dr John Pombe Magufuli, Jembe kutoka Chato.Hao viongozi wa dini wanaokemea sio hao wanaokamatwa na kuwekwa jela na kuchunguzwa uraia wao?
Umejua kunifurahisha,eti Bakwata ni taasis ya serikali na iliundwa na Nyerere na Mark BomaniTafadhalini sana nyie ndugu zetu wakikristo, mara nyingi tumemijuza kuwa Bakwata sio taasisi ya waislamu, hiyo ni taasis ya serekali, na iliundwa na Nyerere na Mark Bomani, na hao munaowaita Mashehe hawana tofauti na Gwajima.
Anayeunga mkono juhudi aunge kama mwanachama wa chama, hai ni wanachama wenzetu ndani ya ccm.
"Chema chajiuza, kibaya chajitembeza" Shaaban RobertSijaona ulazima wakufanya yote hayo,kwani watu hawayaoni hayo mazuri mpaka wanatumia nguvu kubwa hivyo kuwaaminisha watu uongo.
Wavae kanzu ya kijani kama ya Nabii TitoWavae na mashati ya kijani kabisaaa. Wavue kanzu zao
kazi ya Askofu si kusifia wanadamu bali....Mbona maaskofu wakikemea unakuwaga wa kwanza kuanzisha uzi humu kusifia.
Unataka mambo yanayokufurahisha tu ndo yatendeke. Tengeneza dunia yako!