Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwekwa kinyumba na shemeji yako, unadhani kila mwanaume yupo hivyo.Nenda kamsaidie huko Polisi kama una ubavu.Wapiga kelele kwenye keabordy,ya simu ya shemegi,mume wa dada yako
Yale maneno aliyosema Wakili Mwabukusi kwamba jambo baya litatokea madai yao yasiposikilizwa, yale maneno ni vitisho tu.
Tumemsikia wote Wakili Mwabukusi anasema"Wasidhani tunaleta masihara. We mean business". These are idle words, empty words, hollow words. Kwa sababu huyu Wakili Mwabukusi hana silaha zozote.
Yule mwingine alikuwa anasema juzi,vSerikali imevunja Katiba. Kama ni halali kwa serikali kuvunja Katiba, basi ni halali kwa sisi pia kuvunja Katiba."
Haya ni maneno tu hawa watu wanaongea. Polisi wanakuwa too excited for no reason.
Ni kwamba tu kina Mdude hawajui hii ni nchi ya Chama kimoja, wanadhani wakiitukana serikali kuna mtu atakuja kuwasaidia. Mahakama Beijing inaweza kushindana na CCP?
Yule Wakili ilikuwa hakuna sababu yoyote kumkamata kwa sababu Mahakama ilikuwa imeshamuondoa makali.
Au labda ni vizuri kwa polisi kuwadhibiti watu wote hawa ambao hawakubali kushindwa, ambao wanataka kuikaidi Mahakama.
Sasa Jeshi (la Wananchi) lingekuwa restless, that would have been a different matter.
Lakini tunawapeleka watu kwenye torture chambers, ambao ni nothing, less than nothing.
Tatizo mnataka kuingilia kazi ya police ambayo kimsingi hamuijui. Ukitoa matamshi yenye utata juu ya usalama wa nchi police wana react kuchunguza motive kabla ya hatari yoyote kutokea.Anaweza tu kuipindua serikali kwann asiwez,Kila mtanzania ni JWTZ ndo maana ikaitwa Jeshi la Wananchi Tanzania.
Ila anaweza asiwez kwasabu ajawa special trained yan ajawa mwanajeshi.
But uwez jua backup yake nyuma nchi kubwa hii sema watu ndo awana uthubutu.
Hawa akili ndogo, mwabukusi na mdude waangushe serikali? Labda ya Kijiji chao.Yale maneno aliyosema Wakili Mwabukusi kwamba jambo baya litatokea madai yao yasiposikilizwa, yale maneno ni vitisho tu.
Tumemsikia wote Wakili Mwabukusi anasema"Wasidhani tunaleta masihara. We mean business". These are idle words, empty words, hollow words. Kwa sababu huyu Wakili Mwabukusi hana silaha zozote.
Yule mwingine alikuwa anasema juzi,vSerikali imevunja Katiba. Kama ni halali kwa serikali kuvunja Katiba, basi ni halali kwa sisi pia kuvunja Katiba."
Haya ni maneno tu hawa watu wanaongea. Polisi wanakuwa too excited for no reason.
Ni kwamba tu kina Mdude hawajui hii ni nchi ya Chama kimoja, wanadhani wakiitukana serikali kuna mtu atakuja kuwasaidia. Mahakama Beijing inaweza kushindana na CCP?
Yule Wakili ilikuwa hakuna sababu yoyote kumkamata kwa sababu Mahakama ilikuwa imeshamuondoa makali.
Au labda ni vizuri kwa polisi kuwadhibiti watu wote hawa ambao hawakubali kushindwa, ambao wanataka kuikaidi Mahakama.
Sasa Jeshi (la Wananchi) lingekuwa restless, that would have been a different matter.
Lakini tunawapeleka watu kwenye torture chambers, ambao ni nothing, less than nothing.
Na weka akili ujue ohooo
Bouazizi ni changa la macho.Mchezo wote ulichezwa na CIA.Kama unamkumbuka Mohammed Bouazizi wa Tunisia usingesema ni jeshi tu ndio linaweza
Kijana huyo ndio alianzisha Arab Spring baada ya kukosa ajira na kuamua kujichoma moto na hapo nguvu ya Umma ikafanya yake
Hakuna kudharau kitu kwani wakati mwingine mabadiliko yanaweza kuwa tofauti kabisa
Tuheshimu amani hata kama hatuna furaha
Wanaumba wahaini Kwa maneno Yao kama walivyomuumba gaidi Hamza Kwa kumsingizia Mbowe!!Fear of the unknown...! Always the guilty ones are afraid.
Ukiwauliza hofu ya nini watatunga uongo ku justfy their fears.
Maneno ya Mungu yanasema mwenye dhambi hukimbia hata asipokimbizwa...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kupotosha hao watu kiongozi wa nchi atishiwi nyau au security stability ya nchi; hata kwa utani hadharani.
FBI wameondoa maisha ya mtu juzi baada ya kumtishia Biden mitandaoni tu. Seuse kauli za hao watu publicly; wanatafuta matatizo makubwa acheni kuwaingiza mkenge vijana wa watu.
Zile kosakosa zilikoswa kwa Azam,leo zote kambani.Mnakula 3 bin 0.
Acheni kupotosha hao watu kiongozi wa nchi atishiwi nyau au security stability ya nchi; hata kwa utani hadharani.
FBI wameondoa maisha ya mtu juzi baada ya kumtishia Biden mitandaoni tu. Seuse kauli za hao watu publicly; wanatafuta matatizo makubwa acheni kuwaingiza mkenge vijana wa watu.
Huyo kiongozi wa kisiasa aliyesema haki haitapatikana mahakamani alikuwa sahihi kabisa. Ingekuwa mahakama ya kimataifa hapo haki ingepatikana. Lakini kwa hizi mahakama zinazopokea amri toka kwa viongozi wanaoingia madarakani kwa kupora chaguzi, ni wendawazimu kutarajia kupata haki."KILA BALAA HUANZA NA KAULI," KOTE ULIMWENGUNI,BAADAE MATENDO HUFUATA,TUWE MAKINI NA WATU WA AINA HII,YUPO KIONGOZI WA KISIASA PIA ALIYESEMA ALIFAHAMU HAKI HAITAPATIKANA MAHAKAMA ISPOKUWA WANANCHI WATAPASWA KUITAFUTA WENYEWE,KAULI ZA KIPUMBAVU KABISA HIZI,MUDA UMEFIKA HARAKATI ZOTE ZA KISIASA NA MIHADHARA ISIMAMISHWE KWA MUDA MPAKA HAPO BAADAE,HALI SIYO NZURI KWA AFYA YA TAIFA LETU.
Kwenye mahakama zipi? Unataka kufundisha watu uoga?Ulikuwepo wakati wanaulizwa?
Hayo watakwenda kujibu mahakamani, polisi kazi yao ni kuwahoji na kuandika maelezo yao tu.
Hao wana kesi ya uhaini kwa mujibu wa tangazo la Wambura. Sio peke yao, kuna wengine kwenye mtandao wao, hatobaki mhaini mitaani.
Acheni kupotosha hao watu kiongozi wa nchi atishiwi nyau au security stability ya nchi; hata kwa utani hadharani.
FBI wameondoa maisha ya mtu juzi baada ya kumtishia Biden mitandaoni tu. Seuse kauli za hao watu publicly; wanatafuta matatizo makubwa acheni kuwaingiza mkenge vijana wa watu.
Na wao wanajua,wanafanya vurugu tu.Huyo wakili akitukanwa at ktishiwa maisha atakaa kimya?Hatakwenda kwenye vyombo vya sheria?