Odinga pia ana promote kitu kibaya hasa kwa sisi waafrika .Nchi zetu ziko nyuma sana tuna umaskini ,maendeleo tumeweka kando ...hatutaweza huu ujinga wa siasa 24/7Me nadhani unaandika haya ili kuwaaminisha wanalumumba wenzako kuwa Tz ipo sawa kukandamiza haki na uhuru ktk chaguzi. Lakini juu ya yote, kama umeikubali demokrasia, uwe tayari pia kubeba gharama zake. Ni heri kuendeleza uongozi wa kifalme kama haupo tayari kutenda haki katika uchaguzi. I support Kenyan democracy by 100% . Viva UHURU viva RAO for promoting democracy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe acha vijisababu, eti kuna maeneo hayaishiki, huwezi linganisha madeserts kwenu na ya uarabuni huko, na mataifa yameendelea huko, Israel, Jordan, Egypt etc. Acha sababu, ni uvivu na uzembe tu.Hayo unayojaribu kusema ni vijisababu tu.eti sijui socialist, capitalist ... Madini mnayo kupindukia lakini bado mko nyuma ya kenya kiuchumi kenya hii ambayo 70% ni ukame! Asilimia 80% ya nchi inaishi ndani ya asilimia 30% ya nchi manake huko kwengine hakuishiki!
Mada Mbili tofautiHayo unayojaribu kusema ni vijisababu tu.eti sijui socialist, capitalist ... Madini mnayo kupindukia lakini bado mko nyuma ya kenya kiuchumi kenya hii ambayo 70% ni ukame! Asilimia 80% ya nchi inaishi ndani ya asilimia 30% ya nchi manake huko kwengine hakuishiki!