Pole Sana... Kisa chako kinafanana na changu pia... Cha muhimu ni kujikubali tu kwamba umeshakuwa hivyo na uishi kulingana na Hali yako.
Binafsi nilizunguka mahospitali yote makubwa TZ bila mafanikio.. mwisho nikaambiwa nikubaliane na Hali hiyo na nifanyiwe counseling ili niendelee tu na maisha.
Kama inawezekana tuwasiliane zaidi
Pole Sana... Kisa chako kinafanana na changu pia... Cha muhimu ni kujikubali tu kwamba umeshakuwa hivyo na uishi kulingana na Hali yako.
Binafsi nilizunguka mahospitali yote makubwa TZ bila mafanikio.. mwisho nikaambiwa nikubaliane na Hali hiyo na nifanyiwe counseling ili niendelee tu na maisha.
Kama inawezekana tuwasiliane zaidi.