Napitia wakati mgumu

Napitia wakati mgumu

Pole Sana... Kisa chako kinafanana na changu pia... Cha muhimu ni kujikubali tu kwamba umeshakuwa hivyo na uishi kulingana na Hali yako.

Binafsi nilizunguka mahospitali yote makubwa TZ bila mafanikio.. mwisho nikaambiwa nikubaliane na Hali hiyo na nifanyiwe counseling ili niendelee tu na maisha.

Kama inawezekana tuwasiliane zaidi.
Pm yako umefunga
Pole Sana... Kisa chako kinafanana na changu pia... Cha muhimu ni kujikubali tu kwamba umeshakuwa hivyo na uishi kulingana na Hali yako.

Binafsi nilizunguka mahospitali yote makubwa TZ bila mafanikio.. mwisho nikaambiwa nikubaliane na Hali hiyo na nifanyiwe counseling ili niendelee tu na maisha.

Kama inawezekana tuwasiliane zaidi
Pole Sana... Kisa chako kinafanana na changu pia... Cha muhimu ni kujikubali tu kwamba umeshakuwa hivyo na uishi kulingana na Hali yako.

Binafsi nilizunguka mahospitali yote makubwa TZ bila mafanikio.. mwisho nikaambiwa nikubaliane na Hali hiyo na nifanyiwe counseling ili niendelee tu na maisha.

Kama inawezekana tuwasiliane zaidi.

Tafuta bangili ya Shaba vaa mkononi au hata pete ya Shaba vaa mkononi kwenye kidole na inafaa uvae masaa 12 ya jua yaan mchana tu katika utendaji wako wa kazi yaan kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 12 jioni vua, utanishukuru

View attachment 3202896
Inasaidia nini??
 
Mmmmh mbona story zinaendana karibia 96% na mschana mmoja anaitwa Merry? sio wewe kweli tulikutana fb baada ya muda fln ukaniambia hali yako na ukaomba hela nikakwambia hela sina kama unahitaji msaada njoo geita ama tukukane kamanga hospital kwa Dr wa masikio gharama nitatoa mimi.

Baada ya kukuambia vile ulinipa sharti nije kwanza kwenu wanijue ...............kwa kifupi ulianza ujanja ujanja kama sio wewe nisamehe ila kisa chako kinaendana sana matukio uliyosema kilichotofautiana tu ni macho,kukoswa nguvu na kuanguka basi.Lakini kujitolea ualimu sawa na ulisema ni fundi cherehani na tatizo la msakio tangu ukiwa olevel.
Kinachosikitisha hata jina la Merry ulidanganywa
 
Malkia nana!

Pole,maziwa ya kuchemsha asubuhi na jioni,mboga za majani kama mlo mkuu na wanga kidogo,

Ukipata chai pia ya kahawa bila kuweka sukari asubuhi na jioni!kahawa itasaidia damu kwenda Kasi kwenye mishipa na kuzibua ganzi kwenye viungo!

Epuka nyama na sukari nyingi plus chemicals!

Maombi binafsi hasa usiku was manane saa Saba nane au saa Tisa usiku ,just a simple prayer usi complicate!!
Wabaya wameset pin code wanaamini huwezi decode code hizo,utafunguliwa pole pole!

Wanaofanyiwa ubaya kama wako Huwa no wale wenye uwezo mkubwa na nyota kubwa ya kuwa wakubwa maishani!!
 
Kwanza pole sana kwa madhila unayopitia.Nionavyo mimi kuhusu madhila yako ni:wazungukwa na wanaoamini katika imani isiyoshiba ambao ndiyo wamebeba hatima yako.Kweli uchukuliwe kutoka Dar uletwe mikoani kama Kigoma ama nchi jirani kwa wataalamu waangalie vipimo katika maabara ya giza washindwe kuona hilo fumbo?Nitafute kwa namba hii ili nikuunganishe na mtaalam uangaliwe hapohapo.0754823145.Gharama utazimudu mwenyewe bila kushirikisha watu kwani si kubwa.Hatari ya kuishi hivyo ni kuyaweka maisha rehani
 
2. SOLUTION 1, sasa amua kuwa mwinjilisti sasa anza kuhubiri habari za MUNGU ili watu waokoke. Nunua spika yako moja anza kuhubiri barabarani kokote kule hadi nyumbani kwenu. Njoo lete mrejesho.
 
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
Mpokee Bwana Yesu kama mwokozi wa maisha yako binafsi. Ubatizwe katika maji mengi kwa jina la Bwana Yesu Kristo umpe maisha yako utabadilika na tatizo lako litakwish
 
Umetumia tiba ya mkojo wa Ahsubui.

Do it at least 1-7days

Naamini utapata goodfeedback

Ukipona najua utakuwa shuhuda mkubwa wa hii tiba.

Mimi nilikuwa na hali Kama hiyo ikiwemo kuumwa na kichwa kila siku Ila nimepona.
Ushauri wa kijinga Sana huu, je unafahamu contents zilizo kwenye mkojo, unafahamu kwanini mkojo unatakiwa kutolewa mwilini?
 
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
Pole sana!
Uliwahi kwenda taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete?
 
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
Nenda kwa Mwamposa
 
Kama ni mroma na una amini Funga na kuSali Novena ya My.Ritha wa kashia ( Novena ya mambo yaliyoshindikana )...
Nasisitiza tena,. Kama unaamini

Lamomy Labella nakumbuka wakati unanielekeza siku ya kwanza sikuwa na amini,. Lakini kwa Juhudi za madaktari na Nguvu ya novena hii nilipona kabisa,. Ubarikiwe sana Jirani
Sio lazima awe mroma Ile ikisaliwa Kwa Imani na mtu yeyote inafanya kaz
 
Samahani unaweza kuniambia hospitali ambayo ulipata vipimo vya CT scan.na hawakuona ugonjwa wowote katika mwili wako?
 
Back
Top Bottom