Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Sasa najiuliza nyinyi wa mjini mnaopokea mshahara ngazi hii mnawezaje na maisha yalivyo sasahivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fweeeza huwa haitoshi siku zote Idrissou02Sasa najiuliza nyinyi wa mjini mnaopokea mshahara ngazi hii mnawezaje na maisha yalivyo sasahivi?
Ni kama mia 6 na point zakeNd o sh ngp hyo
Mshahara wa barmaid kabisa huuNi kama mia 6 na point zake
Dàah nawaza Sana ningekua ata na hiyo tgs d ningepata hata mwanga wa Maisha YOTE KWA YOTE MSHAHARA HUWA HAUTOSHISasa najiuliza nyinyi wa mjini mnaopokea mshahara ngazi hii mnawezaje na maisha yalivyo sasahivi?
Iyo scale kwa mwalimu Ni 716k kabla ya 23%za samiaNi kama mia 6 na point zake
Nisaidie Mimi kwa ushauri Nina barua toka kwa katibu mkuu Utumishi baada ya kunipa kibali katibu mkuu kiongozi cha kuajiriwa nimeambiwa niombe sekretarieti ya ajira nipangiwe kituo cha kazi je Utumishi watafahamu vipi nimeomba kazi fulani sekretarieti ya ajira? Kwa the shu yako inategemea uko mkoa, kanda au sehemu gani kulingana na uchumi wa eneo husika mfano mtu alieajiriwa katikati mwa Dar na alieajiriwa Arusha maisha ni magumu lakini alieajiriwa sehemu za nyanda za juu kusini maisha ni poa vyakula vingi n.k.Sasa najiuliza nyinyi wa mjini mnaopokea mshahara ngazi hii mnawezaje na maisha yalivyo sasahivi?
Nisaidie Mimi kwa ushauri Nina barua toka kwa katibu mkuu Utumishi baada ya kunipa kibali katibu mkuu kiongozi cha kuajiriwa nimeambiwa niombe sekretarieti ya ajira nipangiwe kituo cha kazi je Utumishi watafahamu vipi nimeomba kazi fulani sekretarieti ya ajira? Kwa the shu yako inategemea uko mkoa, kanda au sehemu gani kulingana na uchumi wa eneo husika mfano mtu alieajiriwa katikati mwa Dar na alieajiriwa Arusha maisha ni magumu lakini alieajiriwa sehemu za nyanda za juu kusini maisha ni poa vyakula vingi n.k.
Aache kazi kabla ya kupata kazi nyingine, ili aone ilivyo kazi kupata kazi nyingineSi uache kazi.
Watakuingiza kwenye database moja kwa moja kisha zikitokea nafasi zinazohusu taaluma yako wanakupangia.Nisaidie Mimi kwa ushauri Nina barua toka kwa katibu mkuu Utumishi baada ya kunipa kibali katibu mkuu kiongozi cha kuajiriwa nimeambiwa niombe sekretarieti ya ajira nipangiwe kituo cha kazi je Utumishi watafahamu vipi nimeomba kazi fulani sekretarieti ya ajira? Kwa the shu yako inategemea uko mkoa, kanda au sehemu gani kulingana na uchumi wa eneo husika mfano mtu alieajiriwa katikati mwa Dar na alieajiriwa Arusha maisha ni magumu lakini alieajiriwa sehemu za nyanda za juu kusini maisha ni poa vyakula vingi n.k.